Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtakufa nyie si mnunue ya kwenu kama mnapenda starehe? m2 mzma unatamka et una hamu ya kupanda gar that's uncivilized kwan cha ziada n nn kwny hyo magar?
kama juice umeshndwa kununua?,tv si mnazo nyumban mpaka mkaone kwnye gar,magazet nk, wabongo mspende kujtafutia kiama.
mtakufa nyie si mnunue ya kwenu kama mnapenda starehe? m2 mzma unatamka et una hamu ya kupanda gar that's uncivilized kwan cha ziada n nn kwny hyo magar?
kama juice umeshndwa kununua?,tv si mnazo nyumban mpaka mkaone kwnye gar,magazet nk, wabongo mspende kujtafutia kiama.
The Fixer idea sio ya Riziwani ni ya Mzee Shabiby mmiliki wa mabasi ya shabiby na ufunguzi ni kweli alifungua Riziwani
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Na mimi ni mwanae wa kwanza wa mmiliki wa mabasi haya, na jina la Ratco lilianza zamani sana kabla hayajaanzishwa mabasi hayo, kabla ya Ratco lilikuepo jina la "Masukari" baada ya jina hilo ndipo jina la Ratco kutokea. Na Ratco ilianza kwenye malori ndipo yapo mpaka kwenye mabasi!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
The Fixer idea sio ya Riziwani ni ya Mzee Shabiby mmiliki wa mabasi ya shabiby na ufunguzi ni kweli alifungua Riziwani
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Daaah safi sana..mi sitaki kujua mmiliki ni nani wala nani ila ili gari (RATCO) nililiona ubungo ikanilazimu kwenda tanga japo sikupanga..ts a Very nice bus ever seen in tz..OMBI LANGU plsss kama wahusika mpo humu pllss n pllls nawaombeni muanzishe safar za dar -kahama pllls plls nawaombeni sana..trust me mtateka soko zima la nyanda za juu.
Hivi kahama na yenyewe ni nyanda za juu?!