Ni nani Mmiliki Wa Blog Hii Millardayo.com?

Sami Misago nae alikuwa anapost after school bash? Fiesta je alipost?
Basi hizi blog zitakua hazina uhuru wa kuamua nini cha kuripoti!
kiuhalisia wamiliki wa hizi blog wanatakiwa wawe free kuripot habari yoyote mbali na vituo walivyoajiriwa
 
Mmiliki ni Millard Ayo mwenyewe ambaye ni mtangazaji wa Radio na TV Clouds Media.
 
Ni nani humpangia habari za kuripoti kupitia millardayo.com?
Ni yeye mwenyewe anapata habari kutoka vyanzo mbalimbali vya ndani na nje na baada ya kujiridhisha kuhusu ukweli na uhalali wake inapostiwa kwenye mtandao wake na wafanyakazi wake.
 
Ni yeye mwenyewe anapata habari kutoka vyanzo mbalimbali vya ndani na nje na baada ya kujiridhisha kuhusu ukweli na uhalali wake inapostiwa kwenye mtandao wake na wafanyakazi wake.
Sawa mkuu!
vp tukio la decemba 10 mlimani city nini kilimkumba hadi akalifumbia macho
 
mleta mada,
siku hizi kuna vyanzo vingi vya kupashana habari...hakuna ulazima kwamba kila habari inayohusiana na masuala ya burudani ilipotiwe na Millard ayo.com.

tayari inaonekana upo well informed kuhusu hizo tuzo,ni kuonyesha kwamba ulipata habari kupitia chanzo kingine.
 
iyo blog ya millard ishakuwa blog ya kureport habari ccm kitambo sana haina tofauti na clouds fm kila cku ccm
 
Sie waswahili hatuna shkrani uyo ayo saalikuwa redio one ndoo hao mawingu wakamjuwa
 
Katika hili Millard Ayo amekosea! Blog yake ni mali yake binasfi haihusiani na mwajiri wake. Anapaswa kutoa taarifa za burudani kama zinavyotokea. Akiendeleza ubaguzi wa namna hii hatafika mbali. Mathalani, akiachana na kituo cha Clouds, hatatangaza habari zinazohusu vituo vingine? huo hautokuwa unafiki? Mbaya zaidi dogo amepitia katika kampuni hiyo ya IPP na ndiyo iliyompa jina town!
 
Kinachonishangaza ni Millard Ayo huyohuyo anayechukuaga vipande vya habari kutoka ITV nakuviweka kwenye blog yake....
Kwahili alilofanya Millard nawashauri ITV wampige marufuku kurusha vipande vya habari zao kwenye blog yake
Akili nyingine bhana, zinazidiwa kufikiri na kuku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…