Ni nani motivational speaker mkali hapa bongo?

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Kwa mliowai kuwasikia au kuwaona watoa mada au waongeaji kwenye majukwaa ya hamasa kwenye angle tofauti naamini kuna watu walikuvutia kwa umahiri wao, story zao halisi za maisha au kukupa nguvu fulani hivi.

Mimi namkubali sana Masudi Kipanya na kuna mtu nilimuona jukwaa fulani anaitwa James.

Namkubali Kipanya sababu atengenezi hadithi na ana facts.

Wewe unaesoma hapa unamkubali nani?
 
Soma vitabu, utagundua kwamba hawana jipya, wana-copy paste.

Ukitaka kujua hilo angalia wengi wa Motivational Speakers hawafanikiwi kupitia yale wanayotuambia tufanye bali michango yetu ndo vyanzo vya mapato yao.

Kuna vitabu vingi sana ukisoma utajua nini nazungumza, sema vingi viko katika lugha ya kigeni.

Kuna hii thread hapa chini ina kila kitabu unachohitaji;-

https://www.jamiiforums.com/threads...hitaji-nitafute.315875/page-110#post-21169167
 
Huyu nina beef naye lakini ni mzuri sana kwenye motivation.... Nikki wa pili. Yupo well informed na ni dynamic sana, anaweza akabadilika kulingana na necha ya mchezo. Mauki habadiliki.
 
Ni Eric Shigongo pekee ndiye anayaishi anayo yafundisha na kidogo unaweza ukawa na mifano ya kuona hasa anapo ongelea biashara na ujasiriamali lakini wengine walio baki ni wapiga story na wasoma vitabu tuuuu.
 
Eric shigongo na kumkubali sana wa nche namba moja in les brown, tony robins na Eric Thomas a.k.a the hiphop preacher
Eric anayaishi anayo wafundisha watu .....wengine wanawafundisha watu biashara lakini hawana uwezo wa kuonesha biashara hata wanazo zifanya na zilivyo fanikiwa.....mimi hao huwaita wapiga story na wasoma vitabu
 
mi namkubali chriss mauki ingawa huwa anaongea kwa mikogoo..kiasi kwamba unaweza ukaishia kumtamani badala ya kumsikiliza

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Demba umetisha. Atakusikia Miriam, shauri yako.
 
Erick Shigongo yuko vizuri anafundisha aliyokwisha kuyafanya na anayoyafanya, angalau Mashauri kiasi.
Luvanda hua anasoma sana vitabu ukimsikiliza kwa umakini afadhali uingie google tu.
Jame Mwang'amba nishawai kumsikiliza ila hayuko vizuri kama Shigongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…