Ni nani motivational speaker mkali hapa bongo?

Ukija kwenye Kitengo cha ubunifu hakuna ninaye mkubali kama RUGE the guy is so positive mpaka anakera, visionary boss ka mwili kadogo ila mambo makubwa i learn a lot from him!
Ruge ana ubunifu gani zaidi ya kudhulumu tu idea za watu halafu anawatumikisha bila mkataba akiwachoka anawatimua ?
 
JPM namkubali sana hasa pale anapoenda off point au kuropoka pia huwa sichoki kumsikiliza akiongea ngeli, huwa nashawishika wanangu wote wapite English medium...!!
Stress zitakuua, naona vyeti vya kuchonga stationary vimekutokea puani teh teh teh
 
mi namkubali chriss mauki ingawa huwa anaongea kwa mikogoo..kiasi kwamba unaweza ukaishia kumtamani badala ya kumsikiliza
Huyu hamna kitu...kama umewasikiliza wengi utagundua huyu jamaa ni mtu wa copy and paste...binafsi huwa simuoni kama ana jipya.
 

Sheikh Kipoozeo.
 
Hapo kwa bashite vipi?
Msinipige mawe lakini...
 

Masudi ana degree.
 
Kusema ukweli hakuna mtu alishawahi ni motivate kwa kuongea kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…