Ni nani Rais wa heshima wa Simba?

Ni nani Rais wa heshima wa Simba?

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Katika hali isiyo ya kawaida na isiyo ya kikatiba Mwenyekiti wa Simba upande wa Mwekezaji anajiuzulu na kumteua Rais wa heshima wa Simba Mo kuwa Mwenyekiti upande wa Mwekezaji!

Hii kitu hakijawahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia na hivyo ajabu lingine la dunia!

Ina maana kumbe Mo ni Mwekezaji feki na kwamba anaweza kupewa kazi na Mwenyekiti upande wa Mwekezaji.

Kila siku tunaaminishwa kuwa Mo ni Mwekezaji na Rais wa heshima wa Simba na kwamba kwa mujibu wa katiba ya Simba ndiyo anapaswa kuteua wajumbe na Mwenyekiti upande wa Mwekezaji kumbe ni geresha tu!

Bila kufanya transformation na kutengeneza katiba imara Simba itabaki mdebwedo!
 
Katika hali isiyo ya kawaida na isiyo ya kikatiba Mwenyekiti wa Simba upande wa Mwekezaji anajiuzulu na kumteua Rais wa heshima wa Simba Mo kuwa Mwenyekiti upande wa Mwekezaji!

Hii kitu hakijawahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia na hivyo ajabu lingine la dunia!

Ina maana kumbe Mo ni Mwekezaji feki na kwamba anaweza kupewa kazi na Mwenyekiti upande wa Mwekezaji.

Kila siku tunaaminishwa kuwa Mo ni Mwekezaji na Rais wa heshima wa Simba na kwamba kwa mujibu wa katiba ya Simba ndiyo anapaswa kuteua wajumbe na Mwenyekiti upande wa Mwekezaji kumbe ni geresha tu!

Bila kufanya transformation na kutengeneza katiba imara Simba itabaki mdebwedo!
Najua wahafidhina watakutukana. Lakini haiwezekani Mtu ajiuzulu halafu ateue anayeona yeye anafaa halafu Huyo naye anapoonekana hatoshi anajiuzulu na kumteua aliyemteua yeye awali.
 
Najua wahafidhina watakutukana. Lakini haiwezekani Mtu ajiuzulu halafu ateue anayeona yeye anafaa halafu Huyo naye anapoonekana hatoshi anajiuzulu na kumteua aliyemteua yeye awali.
Hii timu inaenda kujifia soon
 
Simba walipewa nafasi ya kurekebisha katiba yao kilichotokea wakaleta baraza la ushauri na haya ndio matokeo yake.
Katiba yao ilikuwa na matundu mengi na hicho ndio chanzo cha matatizo.
 
Katika hali isiyo ya kawaida na isiyo ya kikatiba Mwenyekiti wa Simba upande wa Mwekezaji anajiuzulu na kumteua Rais wa heshima wa Simba Mo kuwa Mwenyekiti upande wa Mwekezaji!

Hii kitu hakijawahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia na hivyo ajabu lingine la dunia!

Ina maana kumbe Mo ni Mwekezaji feki na kwamba anaweza kupewa kazi na Mwenyekiti upande wa Mwekezaji.

Kila siku tunaaminishwa kuwa Mo ni Mwekezaji na Rais wa heshima wa Simba na kwamba kwa mujibu wa katiba ya Simba ndiyo anapaswa kuteua wajumbe na Mwenyekiti upande wa Mwekezaji kumbe ni geresha tu!

Bila kufanya transformation na kutengeneza katiba imara Simba itabaki mdebwedo!
Hujui chochote kuhusu uendeshaji wa Simba na kuhusu uwekezaji.
 
Back
Top Bottom