Ni nani wa kumtoa Ndugai kwenye kiti chake? Piga chini miradi yote ya 10pc bungeni, mbwai na iwe mbwai

Ni nani wa kumtoa Ndugai kwenye kiti chake? Piga chini miradi yote ya 10pc bungeni, mbwai na iwe mbwai

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Kati ya watu nawaaminia ni mh Jobu, aliwahi charaza mtu peupe pe,

Na aina ya watu hawa usiwachezee kabisa kwa Kila wanachokiamini tena hasa ukianzisha vagi nao!

Jobu, anasimamia mhimili unaojitegemea, na moja ya sifa za mhimili huo ni kuishauri na kuikosoa serikali,

Kwa hali yoyote na kwa tafsiri yoyote kwa aliyoyaongea mh sipika, yote yako sawa tuu, kwa sababu yeye amebeba sifa hizo za kuishauri serikali

Sasa chama kinapokuja juu kwa kauri ya sipika, ni kukosa mwelekeo na kufirisika, ndiyo, kwa upande mwingine, Jobu ni mwanachama wa chama hicho, lakini analindwa na sheria zingine za kibunge kama sipika wa bunge

Na kama chama hawatofautishi vitu hivyo, na bado Sipika analindwa na sheria za kibunge, Basi mh sipika lililopo ni kunyooka sasa!

Unahakikisha unakuwa upande wa wananchi kwa kufanya kazi bila kuruhusu michongo ya wachache kuifirisi nchi yetu na ili hali wanafahamu wewe ndiye mpitisha sheria za nchi na za miradi mikubwa mikubwa na nyengine ya kinyonyaji

Piga chini mradi wa bandari ya bagamoyo ili wajue kwamba kumbe wewe na bunge lako ni mhimili mwingine kabisa na kwamba kila mafanikio na uhovyo wa mafanikio ya serikali yanaanzia hapo
 
we mdanganye tu kwakuwa unamuona ni mgogo unamdharau. Hawez kushindana n amhimili uliojichimbia chini snaa. atafukuzw uanachama alafu uone uspika wake utafika wapi
Asimamie haki sasa awanyooshe hao
 
Ndugai hana moral authority ya kuikosoa serikali yeye ni mfadhili wa wabunge haramu(Covid -19).

Na pia alisema Lissu ni mtoro bungeni ilhali kamiminiwa risasi zaidi ya 20 na hakuna hata hatua yoyote ilichukuliwa na serikali.

Mwisho niseme kumbe awamu hii bado kuna kusifia vichaa wanaokaa maofisini?
 
Piga chini mradi wa bandari ya bagamoyo ili wajue kwamba kumbe wewe na bunge lako ni mhimili mwingine kabisa na kwamba kila mafanikio na uhovyo wa mafanikio ya serikali yanaanzia hapo
Wee! Athubutu aone
 
we mdanganye tu kwakuwa unamuona ni mgogo unamdharau. Hawez kushindana n amhimili uliojichimbia chini snaa. atafukuzw uanachama alafu uone uspika wake utafika wapi
Eti unandharau sababu mgogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom