Ni nani waliongeza cha juu kwenye manunuzi ya ndege ya mizigo?

Ni nani waliongeza cha juu kwenye manunuzi ya ndege ya mizigo?

Hilo Shirika la ndege ndio chaka rahisi la wapigaji wakishindwa kwenye manunuzi wanakamatisha ndege ilipe deni wanakula mgao kila mwaka CAG anakuja na hasara mbona hawalifungi waendelee na kazi zao za kukusanya kodi na kujenga madaraja kuliko hivyo kila kukicha hasara mabilioni harafu hakuna kinachoendelea ila mmetunga sheria ya kukamata wasiopokea risiti ya EFD...
Kila kwenye shirika la serikali wezi ni wengi, kuanzia wafagizi mpaka wakurugenzi, wote ni wezi.
 
Ndiyo kuna sehemu pesa ina hitajika na chama au serikali ila haina bajeti yake, kosa lao ni kuchelewa kum-brief Raisi kuhusu hilo la kuongeza pesa, lakini kwa akili za kawaida $49m haziwezi kupigwa na mtu moja ata awe Raisi mwenyewe hizo ni kama 120bn Tanzania shilling hiyo ni zaidi ya bajeti za wilaya kama mbili kwa mwaka.

Hiyo pesa ni ya chama au analipa madeni ya chama. Mwisho wa upigaji kwa mtu binasi au watu ni 1-5bn shillings ila sio 120bn.
Na wapo wanatajana kuwa flani ndio alisema mpaka sasa mama anashindwa amfukuze nani aache nani.
 
Back
Top Bottom