blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Nauliza NEC. Ni swali gumu linaloweza kuleta TAFRANI.
JE WATATUMIWA WATUMISHI HAWAHAWA!?
Yaani hawahawa licha ya walivyotendwa miaka hii mitano!?
Watumishi(WALIMU)... Mtafanya kazi hiyo!?
Naishia hapo. Nisije itwa mchochezi au mhujumu uchumi.
VIVAA.
JE WATATUMIWA WATUMISHI HAWAHAWA!?
Yaani hawahawa licha ya walivyotendwa miaka hii mitano!?
Watumishi(WALIMU)... Mtafanya kazi hiyo!?
Naishia hapo. Nisije itwa mchochezi au mhujumu uchumi.
VIVAA.