Haa 😁😂Atakayesimamia uchaguzi Mkuu ni yuke ,aliyekuwa anawaambia juzi wale watoza ushuru wa TAG pale Dodoma kuwa uchaguzi utakuwa huru na wa haki
Mtumishi wa ummaKama naona nawaona vile wasimamizi wa mwaka huu.. Itakuwa hatari sana..
Nauliza NEC. Ni swali gumu linaloweza kuleta TAFRANI.
JE WATATUMIWA WATUMISHI HAWAHAWA!?
Yaani hawahawa licha ya walivyotendwa miaka hii mitano!?
Watumishi(WALIMU)... Mtafanya kazi hiyo!?
Naishia hapo. Nisije itwa mchochezi au mhujumu uchumi.
VIVAA.
.Kama kawaida, ni kazi ya punda kubeba mizigo.
Hakuna watu wengine wa kufanya hiyo kazi zaidi ya Walimu.Jibu ni rahisi sana.
Msimamizi awe na Kitambulisho cha NIDA
Serikali haitakiwi kuwatoa walimu vituoni mwaka huu.Mtumishi wa umma
Umma ni CCM (tupo wengi)
Mtumishi wa serikali
Serikali ya CCM.
Kidumu chama Tawala.