Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unajua maana ya Nchi zilizoko kusini mwa jangwa la Sahara au unataja tu nchi za Kiafrika kwa ujumla bila kuzingatia jinsi mleta maada alivyouliza? Aljeria,Mauritius na Morocco haziko chini ya jangwa la Sahara. Kasome Tena.Algeria, Botswana, Cape Verde, Mauritius, Morocco, Namibia na Reunion.
Nchi zenye unafuu Ni 3 tu. South Africa,Botswana na Angola. Zingine bado Zina safari ndefu sana.
Ushabiki pembeni Kenya, Tanzania, Nigeria bado sana.Ukitoa Africa Kusini,yenye hiyo chance ni KENYA na GHANA tu
Tanzania tulikua nayo ila tumeenda kusiko
Nigeria inakabiliwa na population problem na wizi
Angola politically unstable,viongozi wanajiwekea hela sana
Mauritius sijui Botswana,vinchi vidogo haviwezi kua superpower kabisa
Angola haiipiti Nigeria, Nigeria imo kwenye top 3 ya kuwa na highest GDP in Africa ( nchi nyingine ni SA, Egypt)Kivipi mkuu?
Ukitoa SA na Angola kuna nchi gani zinaipita Nigeria,Ghana na Kenya kwa uchumi na demokrasia?
Imeloa hiyoHivi unajua maana ya Nchi zilizoko kusini mwa jangwa la Sahara au unataja tu nchi za Kiafrika kwa ujumla bila kuzingatia jinsi mleta maada alivyouliza? Aljeria,Mauritius na Morocco haziko chini ya jangwa la Sahara. Kasome Tena.
Shithole countries ni zile nchi masikini( vita vya wenyewe kwa wenyewe, njaa, rushwa, teknologia duni, huduma za kijamii hazieleweki)Ushithole maana yake Nini
Kuuliza SI ujinga waungwana
Labda kwa Madiba, tulobaki bado kama miaka 50
Okay, toa hao waarabu wa Algeria na Morocco.Unajua nchi za Chini ya Jangwa la Sahara mkuu?
Sikuelewa vema, haya toa hao waarabu wa Algeria na Morocco ila Mauritius iko kusini mwa jangwa la sahara.Hivi unajua maana ya Nchi zilizoko kusini mwa jangwa la Sahara au unataja tu nchi za Kiafrika kwa ujumla bila kuzingatia jinsi mleta maada alivyouliza? Aljeria,Mauritius na Morocco haziko chini ya jangwa la Sahara. Kasome Tena.
India has the 6th biggest economy in the world, with an economy 10 times bigger than Sweden & Finland , but are Indians living better than Swedes, Finnish ???Kivipi mkuu?
Ukitoa SA na Angola kuna nchi gani zinaipita Nigeria,Ghana na Kenya kwa uchumi na demokrasia?
What do you mean? Yes,there is a large number of Dollar Milionares in India than in Sweden and Finland Combined together. India has about 3 Million Dollar Milionares as compared to 89 for Sweden and 68 for Finland.India has the 6th biggest economy in the world, with an economy 10 times bigger than Sweden & Finland , but are Indians living better than Swedish, Finnish ???
Ghana na Kenya nakubali. South naona ina shida kubwa sana ya usalama, rushwa na tofauti ya matajiri na maskini, South ndiyo inaongoza kwa tofauti kubwa ya maskini na matajiri duniani. Na kampeni za bwana Malema za kuchukua ardhi bila fidia naona itazidi kutumbukia chooni.Ukitoa Africa Kusini,yenye hiyo chance ni KENYA na GHANA tu
Tanzania tulikua nayo ila tumeenda kusiko
Nigeria inakabiliwa na population problem na wizi
Angola politically unstable,viongozi wanajiwekea hela sana
Mauritius sijui Botswana,vinchi vidogo haviwezi kua superpower kabisa
Usicheki tu GDP, angalia na muelekeo wa nchi yenyewe kama inaleta matumaini. Nigeria kuna rushwa babkubwa, South East inataka kujitenga na vita ndogondogo inaendelea. Usalama zero, Boko Haram, watekaji nk. Nigeria haileti matumaini kabisa.Angola haiipiti Nigeria, Nigeria imo kwenye top 3 ya kuwa na highest GDP in Africa ( nchi nyingine ni SA, Egypt)
Angola haiizidi Nigeria.