Ni nchi gani Mkuu wa usalama umewahi kuteuliwa Balozi tofauti na Tanzania?

Ni nchi gani Mkuu wa usalama umewahi kuteuliwa Balozi tofauti na Tanzania?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Ni kawaida kwa viongozi wakubwa nchini wanapoteuluwa kuiona fursa ya uteuzi nakusau umuhimu wakulinda na kuhifadhi hadhi ya juu aliyopewa.

Kumteua mkuu wa usalama kwenye cheo chochote kunatua dosari nafasi hii. Narafakari Ni nchi gani imewahi kumteua mkuu wa usalama kushika nafasi ya ubalozi? Je, utendaji haushuki kwa kushtukiwa?
 
haya ndiyo maajabu ya huyu mama

kilichomleta bara ni katiba ya mpya na inadhani ndiyo hatima yake, akisha kamilisha hilo basi
 
Nilishawahi lizungumzia hili kwenye uzi mmoja sikumbuki ni upi. Ni maajabu sana Magufuli alimteua Modestus yule former DG wa TISS kuwa balozi wa Tanzania nchini Namibia. Kwa nchi makini huwezi ona maajabu kama hili, yani pale Israel amestaafu David Cohen kuwa DG wa MOSSAD mwezi uliopita alafu mwakani umuone akiwa na cheo chochote kile chenye majukumu nje ya nchi yake. Haiwezekani

Hata nchi masikini zisizo na maajabu sijui kama wanafanya hivi. Na hawa majenerali wakubwa wa jeshi hawafai sana kwenda kukaa nje wakati wana mafaili ya mifumo yetu ya ulinzi. Ingawa wachache unaweza wapeleka kama wana security clearance
 
Ni kawaida kwa viongoz wakubwa nchini wanapoteuluwa kuiona fursa ya uteuz nakusau umuhimu wakulinda na kuhifadhi hadhi ya juu aliyopewa.

Kumteua mkuu wa usalama kwenye cheo chochote kunatua dosari nafasi hii. Narafakari Ni nchi gani imewahi kumteua mkuu wa ysalama kushika nafasi ya ubalozi? Je utendaji haushuki kwa kushtukiwa?
Ungemuuliza Jiwe mwendazake kwa sasa unapoteza muda tu. Hebu tujadili namna ya kupata katiba mpya haya unayoshangaa hutayaona tena
 
Labda ujui ulichoandika.
Hajui hata Balozi anakubalikaje nchi anayoenda. Laiti wangemdeclare persona non grata hapo ingekuwa sawa lakini akipokelewa hauna tatizo.

Tena mabalozi wa aina hii huwa wanaplay kazi nzuri sana ya economic diplomacy.aulize CV za hao watu walipopelekwa nje wamefanya kazi gani.
 
Tena nahis ni vyema zaid kupeleka mabalozi wa aina Hii maana wanakua mabalozi na pia majasus wakusoma njia nyingi na mfumo tofaut yakuisadia Tanzania,
Kuliko kupeleka hawa Lumumba

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 
Na kaa ukijua kuwa watu wengi wabobezi wa Mambo ya diplomasia ni watu wa usalama/majasusi. Huwezi kutuma mtu ubalozini asiye afisa usalama au mwanajeshi kitengo Cha Intel.

Msiwe mnalalamika kabla ya kuelewa mnacholalamikia.
 
Nakumbuka wakati wa JK aliwahi kuteuliwa Balozi Siwa kushika nafasi ya ubalozi pale Kigali, PK akamkataa maana anamjua jamaa ni mafia mzuri sana, JK akamwambia kama hamtaki atoe sababu sio unamkataa Balozi bila sababu ambazo zimewekwa kwenye Sheria ya mambo ya kidiplomasia na mabalozi na taratibu zao.

PK hakuwa na sababu za msingi ishu ni kwamba alishazoea kumletea madharau JK sasa akapelekewa kichwa.

Ilimlazimu amkubali maana JK alimwambia kama humtaki na hauna sababu sisi hatuna mwingine wa kumchagua otherwise tufunge uhusiano wa kibalozi. He had no choice, sijui kama alishastaafu mzee.

Hii ndio maana ya kuwa na mabalozi wanaojua ujasusi kumbuka ubalozi una maofisa Hadi wa kijeshi (military attachee) na wengine wengi sana ubalozi sio duka la mangi although siku hizi kuna sehemu unaenda unakuta hawana kazi wanajimwaga mtaani tu nidhamu ya kibalozi hakuna.

Yani unaenda kuna nchi fulani unaulizia information ubalozini jamaa hawana hata msaada wapuuzi wanakula raha tu. Hata ukipata matatizo wao hawana msaada wowote.

Kuna siku nitasimulia kisa cha zamani kidogo kilichonikuta Moscow na balozi hakuwa na msaada kabisa ingali nilipofika nikienda ubalozini kujitambulisha na kuwaeleza purpose ya mimi kuwa kule Hadi appartment yangu. Instead ya kunisaidia ninahitaji kutibiwa nilipata ajali wakati naendesha gari yeye anaishia kulalamika as if yeye ni baba mdogo wangu badala ya kufanya kazi yake.
 
Nakumbuka wakati wa JK aliwahi kuteuliwa Balozi Siwa kushika nafasi ya ubalozi pale Kigali, PK akamkataa maana anamjua jamaa ni mafia mzuri sana, JK akamwambia kama hamtaki atoe sababu sio unamkataa Balozi bila sababu ambazo zimewekwa kwenye Sheria ya mambo ya kidiplomasia na mabalozi na taratibu zao.

PK hakuwa na sababu za msingi ishu ni kwamba alishazoea kumletea madharau JK sasa akapelekewa kichwa.

Ilimlazimu amkubali maana JK alimwambia kama humtaki na hauna sababu sisi hatuna mwingine wa kumchagua otherwise tufunge uhusiano wa kibalozi. He had no choice, sijui kama alishastaafu mzee.

Hii ndio maana ya kuwa na mabalozi wanaojua ujasusi kumbuka ubalozi una maofisa Hadi wa kijeshi (military attachee) na wengine wengi sana ubalozi sio duka la mangi although siku hizi kuna sehemu unaenda unakuta hawana kazi wanajimwaga mtaani tu nidhamu ya kibalozi hakuna.

Yani unaenda kuna nchi fulani unaulizia information ubalozini jamaa hawana hata msaada wapuuzi wanakula raha tu. Hata ukipata matatizo wao hawana msaada wowote.

Kuna siku nitasimulia kisa cha zamani kidogo kilichonikuta Moscow na balozi hakuwa na msaada kabisa ingali nilipofika nikienda ubalozini kujitambulisha na kuwaeleza purpose ya mimi kuwa kule Hadi appartment yangu. Instead ya kunisaidia ninahitaji kutibiwa nilipata ajali wakati naendesha gari yeye anaishia kulalamika as if yeye ni baba mdogo wangu badala ya kufanya kazi yake.
Kuna siku nitasimulia kisa cha zamani kidogo kilichonikuta Moscow na balozi hakuwa na msaada kabisa ingali nilipofika nikienda ubalozini kujitambulisha na kuwaeleza purpose ya mimi kuwa kule Hadi appartment yangu. Instead ya kunisaidia ninahitaji kutibiwa nilipata ajali wakati naendesha gari yeye anaishia kulalamika as if yeye ni baba mdogo wangu badala ya kufanya kazi yake.


Elezea mr
 
Back
Top Bottom