Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mie hadi leo hii sijajua kwa nini hii kitu huwa inaniumiza sanaDaaaa sijui ni kwann
Ndiyo hivyo ndoto ni ndoto tumie hadi leo hii sijajua kwa nini hii kitu huwa inaniumiza sana
Mambo unayofanya yamepitwa na wakati(kujiona unasoma level ambayo ushapita uwe update).Huwa naota nipo darasani na marafiki zangu wa primary hii ndoto huwa inajirudia rudia sana sijui kwa nn
Weka picha ya ng'ombe pleaseKuota ndoto ni jambo ambalo kila mwanadamu hulifanya, hata wale ambao wanasema kuwa hawaoti. They do, they just don't remember their dreams.
Kuna tafiti zinaonyesha kuwa hata, wanyama mbalimbali nao wanaota.
Fun fact kuhusu ndoto; sura zote unazoziona kwenye ndoto zako ni za watu ambao ulishawahi waona katika maisha yako, sema tu hatukumbuki.
Katika hizi ndoto, zipo ambazo huwa hatuwezi kuzisahau. Zinaweza zikawa ni zakufurahisha, kuhuzunisha, kukasirisha, kuchekesha n.k
So embu tushare with the community, ni ndoto gani uliyowaiota ambayo huwezi kuisahau.
I'll start.
One of my most memorable dreams, niliota nakimbizwa na ng'ombe, sijui hata kwa nini alikuwa ananikimbiza, ila baada ya kuchoka kumkimbia... niligeuka na tukaanza kuzichapa. Tulibondana haswa!
Hii ndoto huwa naikumbuka sana, nikiikumbuka nabaki kucheka tu. Maana it doesn't make sense at all.
Weka photo tuone mkuuNilikuwa msibani sasa ndoto niliyoiota nasafiri kwenda iringa sasa dereva akatupa dakika 10 tu ya kuchimba dawa sasa yule dereva alikuwa anapiga honi mara kwa Mara sasa mie ile presha ya honi nikaamua nijisaidie fasta fasta niwahi kabla ya dakika 10 hizo ,
Kilichotokea siku ile ile nilikimbia kurudi kitaa ,stori ndefu ila ndoto hii ilinivua nguo na kunikosesha amani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niliota nipo kwenye foleni ya kukatwa vichwa na ISIS!! Nilizinduka upanga ukiwa hewani jasho limetoka mpaka kwenye korodani!!
Hii ndoto ya kupaa hewani niliota juzi.Nimezimiss ndoto zangu nikiwa mdogo nilikuwa napaa hewani......NATAKA KUWA MTOTO BYJay Dee