Marcel 12 JF-Expert Member Joined Mar 22, 2022 Posts 483 Reaction score 696 May 5, 2022 #1 Wakuu habari,toka nijiunge humu JF nmekutana na maneno/misamiati kadhaa inayonivunja mbavu ,neno linalonichekesha zaidi ni “Chai”[emoji23] yani mtu akisema hii chai kabisa nacheka sana. Wewe je ni neno gani ulilolikuta humu linakufurahisha sana?
Wakuu habari,toka nijiunge humu JF nmekutana na maneno/misamiati kadhaa inayonivunja mbavu ,neno linalonichekesha zaidi ni “Chai”[emoji23] yani mtu akisema hii chai kabisa nacheka sana. Wewe je ni neno gani ulilolikuta humu linakufurahisha sana?
Deejay nasmile JF-Expert Member Joined Nov 8, 2011 Posts 5,794 Reaction score 5,352 May 5, 2022 #2 Mbususu
I idrissi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2016 Posts 512 Reaction score 432 May 5, 2022 #3 Elfu Saba na Mia nane. Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Marcel 12 JF-Expert Member Joined Mar 22, 2022 Posts 483 Reaction score 696 May 5, 2022 Thread starter #4 Deejay nasmile said: Mbususu Click to expand... [emoji23][emoji23]noma hiyo
Marcel 12 JF-Expert Member Joined Mar 22, 2022 Posts 483 Reaction score 696 May 5, 2022 Thread starter #5 idrissi said: Elfu Saba na Mia nane. Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app Click to expand... [emoji23]we unapenda ugomvi
idrissi said: Elfu Saba na Mia nane. Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app Click to expand... [emoji23]we unapenda ugomvi
fundi bishoo JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 14,264 Reaction score 27,132 May 5, 2022 #6 GuDume gwa mbegu alikuaga na misemo yake dah nlkua naikubaLi sana
Melki Wamatukio JF-Expert Member Joined May 3, 2022 Posts 6,156 Reaction score 10,974 May 7, 2022 #7 Kuchakata mbususu Papuchi Kula kimasihara
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 May 7, 2022 #8 Nasoma comments...
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,394 Reaction score 59,069 May 7, 2022 #9 Mbususu Chai
I idrissi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2016 Posts 512 Reaction score 432 May 8, 2022 #10 Marcel 12 said: [emoji23]we unapenda ugomvi Click to expand... Hapana mkuu..ni maneno tu Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Marcel 12 said: [emoji23]we unapenda ugomvi Click to expand... Hapana mkuu..ni maneno tu Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Uhakiki JF-Expert Member Joined May 18, 2017 Posts 7,288 Reaction score 7,704 May 8, 2022 #11 Kipochi Manyoya Sent using Jamii Forums mobile app
pilato93 JF-Expert Member Joined Jun 28, 2014 Posts 6,296 Reaction score 6,692 May 8, 2022 #12 Yna2 said: Mbususu Chai Click to expand... Naomba mbususu
fyddell JF-Expert Member Joined Dec 19, 2011 Posts 12,026 Reaction score 22,549 May 8, 2022 #13 Kila mtu Jf ni "MKUU" hahaha
Marcel 12 JF-Expert Member Joined Mar 22, 2022 Posts 483 Reaction score 696 May 8, 2022 Thread starter #14 pilato93 said: Naomba mbususu Click to expand... [emoji23][emoji23]oya
Marcel 12 JF-Expert Member Joined Mar 22, 2022 Posts 483 Reaction score 696 May 8, 2022 Thread starter #15 fyddell said: Kila mtu Jf ni "MKUU" hahaha Click to expand... Hhhh hadi mademu [emoji23]nlichoka
Marcel 12 JF-Expert Member Joined Mar 22, 2022 Posts 483 Reaction score 696 May 8, 2022 Thread starter #16 man biznes said: Kuchakata mbususu Papuchi Kula kimasihara Click to expand... Mbususu[emoji23]
Marcel 12 JF-Expert Member Joined Mar 22, 2022 Posts 483 Reaction score 696 May 8, 2022 Thread starter #17 Smart911 said: Nasoma comments... Click to expand... Nadhani umepata mrejesho[emoji23]
Marcel 12 JF-Expert Member Joined Mar 22, 2022 Posts 483 Reaction score 696 May 8, 2022 Thread starter #18 Yna2 said: Mbususu Chai Click to expand... Chai ya tangawizi[emoji1787][emoji1787]
fyddell JF-Expert Member Joined Dec 19, 2011 Posts 12,026 Reaction score 22,549 May 8, 2022 #19 Marcel 12 said: Hhhh hadi mademu [emoji23]nlichoka Click to expand... Inafurahisha sana aisee
Mczigga JF-Expert Member Joined Feb 20, 2020 Posts 722 Reaction score 1,272 May 12, 2022 #20 Ana chura? Hebu weka picha kwanza tujadili vizuri