Ni neno gani linalotumika humu JF toka ujiunge linakuchekesha sana

Ni neno gani linalotumika humu JF toka ujiunge linakuchekesha sana

Wakuu habari,toka nijiunge humu JF nmekutana na maneno/misamiati kadhaa inayonivunja mbavu ,neno linalonichekesha zaidi ni “Chai”[emoji23] yani mtu akisema hii chai kabisa nacheka sana.
Wewe je ni neno gani ulilolikuta humu linakufurahisha sana?
popoma
 
Wakuu habari,toka nijiunge humu JF nmekutana na maneno/misamiati kadhaa inayonivunja mbavu ,neno linalonichekesha zaidi ni “Chai”[emoji23] yani mtu akisema hii chai kabisa nacheka sana.
Wewe je ni neno gani ulilolikuta humu linakufurahisha sana?
Shipa la kimkakati[emoji23]
 
ukute mtu kaweka bidhaa yake anauza hajaweka bei wahuni utasikia "mbona bei kubwa hvyo' kama kaweka namba wanaifanya ndo pesa utasikia du 'kwa hela hii 757,677,879 hupati mteja" [emoji23][emoji23]

Kama hajaeka picha ndo balaa kabisa[emoji23]
 
Back
Top Bottom