Ni neno gani linalotumika humu JF toka ujiunge linakuchekesha sana

popoma
 
Shipa la kimkakati[emoji23]
 
ukute mtu kaweka bidhaa yake anauza hajaweka bei wahuni utasikia "mbona bei kubwa hvyo' kama kaweka namba wanaifanya ndo pesa utasikia du 'kwa hela hii 757,677,879 hupati mteja" [emoji23][emoji23]

Kama hajaeka picha ndo balaa kabisa[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…