Mimi nilivyomaliza kumgegeda akaniambia nimemchafua tu wakati mwanaume nimejipinda kisawasawa
"Ibrah usipende sana kiasi hicho,UTAUMIAA!!"Alikuwa mchaga ndugu yake miss chagga! ALINIACHA &IT PAINED ME A LOT"
mkuu mbona tungo yako ina utata?
Au mi ndo nimetafsiri kupitiliza?
Hivi hili neno linauma??haaa!
Sina hela.......I fainted........
Ahhhhh....
sitongozi tena, kumbe mioyo yenu imekwisha kabisa, kila mtu katendwa....
it's sad kwa kweli..
mimi sijapendwa،mpaka،sasa!
Cc.. Heaven on Earth, DEMBA, shansarie,
Madame B, Evelyn Salt، mwallu، Chocs،
jamani naombeni mnitafutie mke humu!
ukiniacha nakufa.......nimemuacha nina miaka sita wala hajafa.......
We jidanganye tu!
Watu wanaapaga miungu na miungu......lakini wapiiii! Mwisho wa siku utajikuta umo mule mule tu!
So, we jiandae kuyakabili yakhee!