Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

"Mimi pekee ndiyo nijue hali unayoipitia, usipende kila mtu ajue.Najua hauna hela, vaa vizuri mpenzi, mtu asijue Kama unazo au huna"
Nayakumbuka sana maneno ya Mary K
Japo ameolewa na mtu mwingine NAMPENDA BADO
 
Ilikua katikati ya game limekolea kwelikweli, nasimamia vidole mzee mzima, break p.mb., kwa taharuki akaniambia. 'bebi tia yote'. Daah mzuka ukaisha kabisaa na game ikaishia hapo.

Ndio uondoe hizo breki ili iingie yote
 
Baby kuanzia leo naomba iwe mwisho mm na wewe 7bu kunajamaa amenipenda amekuja kunitolea posa. U know yan ndio naolewa hivyo.
 
Reactions: SDG
Nikiwa na mimba ya mwezi mmoja, namtaarifu mwenzangu ya kuwa nimekosa mp mwezi huu nahisi nina mimba. Alinijibu "Sina mpango wa kuwa baba, kwanza ndugu zangu wamenitafutia binti wa kiarabu ana k.u.m.a tamu kushinda yako."
Mungu alinisaidia nikajifungua salama, akiwa na miezi sita na nusu mwanangu anafariki. Mwanangu alikataliwa na babake tokea akiwa tumboni.
Mwanangu Glory may your soul rest in eternal Peace, bado nakupenda Glory ingawa haupo machoni mwangu!!!
 

Pole sana mamii. The guy anadunda tu mjini?

Mimi ingeniuma for the rest of my life.
 
Pole sana mamii. The guy anadunda tu mjini?

Mimi ingeniuma for the rest of my life.
Imeniuma sana mkuu, na ndio alikuwa mwanaume wangu wa kwanza, nashindwa kuwaamini tena hawa wanaume ingawa najua si wote. Ila imeniuma zaidi mwanangu tu, namuona nikilala natamani angekuwepo ila Mungu kampenda zaidi.
 
Imeniuma sana mkuu, na ndio alikuwa mwanaume wangu wa kwanza, nashindwa kuwaamini tena hawa wanaume ingawa najua si wote. Ila imeniuma zaidi mwanangu tu, namuona nikilala natamani angekuwepo ila Mungu kampenda zaidi.

M.Mungu ana makusudi yake mamii, pole sana.
 
Mpenzi wako mpya hakuombi hela...hehehehe..itakua anakupenda kwa dhati kweli...!!!
 
Reactions: SDG

Pole sana mpz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…