haule.scola
Senior Member
- Jul 23, 2012
- 148
- 28
Nikiwa na mimba ya mwezi mmoja, namtaarifu mwenzangu ya kuwa nimekosa mp mwezi huu nahisi nina mimba. Alinijibu "Sina mpango wa kuwa baba, kwanza ndugu zangu wamenitafutia binti wa kiarabu ana k.u.m.a tamu kushinda yako."
Mungu alinisaidia nikajifungua salama, akiwa na miezi sita na nusu mwanangu anafariki. Mwanangu alikataliwa na babake tokea akiwa tumboni.
Mwanangu Glory may your soul rest in eternal Peace, bado nakupenda Glory ingawa haupo machoni mwangu!!!
pole mumy
Nikiwa na mimba ya mwezi mmoja, namtaarifu mwenzangu ya kuwa nimekosa mp mwezi huu nahisi nina mimba. Alinijibu "Sina mpango wa kuwa baba, kwanza ndugu zangu wamenitafutia binti wa kiarabu ana k.u.m.a tamu kushinda yako."
Mungu alinisaidia nikajifungua salama, akiwa na miezi sita na nusu mwanangu anafariki. Mwanangu alikataliwa na babake tokea akiwa tumboni.
Mwanangu Glory may your soul rest in eternal Peace, bado nakupenda Glory ingawa haupo machoni mwangu!!!
Hahahaa hayo ni maajabu kweli..Bila wewe siwezi kuishi wewe ndio punzi yangu bora nife kuliko kukukosa cha ajabu akaenda kuolewa na millionaire ( siyo wa madafu wa $$$$) na hakufa yuko anaishi
Jamani pole dia....Mungu ni mwema....Nikiwa na mimba ya mwezi mmoja, namtaarifu mwenzangu ya kuwa nimekosa mp mwezi huu nahisi nina mimba. Alinijibu "Sina mpango wa kuwa baba, kwanza ndugu zangu wamenitafutia binti wa kiarabu ana k.u.m.a tamu kushinda yako." Mungu alinisaidia nikajifungua salama, akiwa na miezi sita na nusu mwanangu anafariki. Mwanangu alikataliwa na babake tokea akiwa tumboni.Mwanangu Glory may your soul rest in eternal Peace, bado nakupenda Glory ingawa haupo machoni mwangu!!!
She told me this ''I love u more than I love my self'' cha ajabu one day we had a fight then she told me '' yaani Leo mwanaume nitakayekutana nae nikampenda naenda kumpa''
he told me"nakupenda mke wangu mtarajiwa, na kuwa makin na dunia ucniumize.. ntakupenda daima" mh.. after few dayz akafarik dunia.. nililia nakujiona naonewa kbxa... nikikumbuka huwa naumia sana na nataman kupata mwenye upendo kama yeye bt mh..!
Pole sana!Mungu atakupa mwingine atakayekupenda hivyo hivyo
"najua unavyonipenda na unavyohitaji kuishi na mimi ila naona nitakusumbua sana maanake sijamaliza starehe za ujana" he stopped there and hug me with tears on his cheeks...angejua ninavyompenda angerudi hata for a single day.
Evarm poleee sana. Mwwnyezi mungu ataupoza uchungu wako na utapata cwt baby mwingineNikiwa na mimba ya mwezi mmoja, namtaarifu mwenzangu ya kuwa nimekosa mp mwezi huu nahisi nina mimba. Alinijibu "Sina mpango wa kuwa baba, kwanza ndugu zangu wamenitafutia binti wa kiarabu ana k.u.m.a tamu kushinda yako."
Mungu alinisaidia nikajifungua salama, akiwa na miezi sita na nusu mwanangu anafariki. Mwanangu alikataliwa na babake tokea akiwa tumboni.
Mwanangu Glory may your soul rest in eternal Peace, bado nakupenda Glory ingawa haupo machoni mwangu!!!
alinikosea nikataka kumuacha ilikuwa 2011 akasema
"nimekosa please usiniache nimekuzoea ni ngumu kuishi bila wewe naomba second chance ili niwe mwema kwako"
hadi leo ni mwema kwangu na anakiumbe wangu hope nitamuona