Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Ilikua katikati ya game limekolea kwelikweli, nasimamia vidole mzee mzima, break p.mb., kwa taharuki akaniambia. 'bebi tia yote'. Daah mzuka ukaisha kabisaa na game ikaishia hapo.
Ahahahah!.....unakata game kisha unamuuliza una rambooo??
 
  • Thanks
Reactions: SDG
"Nakupenda sana Juc na hii ndo sababu ya mimi kuridhia uwe na mwanamke mwingine umpendae,ipo siku nami Mungu atanipa mwanaume mwenye Upendo kama wako na baba yangu"kwa sasa natamani sana anisamee pale nilipokosea but daah it's too late.....G yote yale hayakuwa makusudi.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nilikuwa nimelala kifuan kwake huku akinipapasa mgongon akaniambia babe I will never hurt you again bt after two month akampa mimba msichana mwngne..iliniuma sana
 
  • Thanks
Reactions: SDG
1. nimemaliza tu kum do akaanza kulia nikahamaki nini tatizo, what have I done wrong? Akaniambia "i know you have got what you wanted, na utaniacha" Dah it touched me and I proved her wrong, yeye ndio akaja kucheat!

2. Huyu mwingine ilinibidi nicheke sana. Nilimpelekea moto akacum then nikawa naendelea hehehe 5 mins into the game ananipiga na kulia "darling naomba usimfanye hivi mtu mwingine pleeeease nyamgluu"
Hahahaha. Game ikasimama maana nilicheka sana kuona demu anawivu kiasi kile!

Du, napata wasiwasi hao mademu wako natumai wapo mkoa wa Nyanda za Juu kusini. Maana hivyo hivyo ulivosema yalinikuta, hadi nafikiri tumepita njia moja. Namba 1 hapo anafanya kazi tayari sekta ya afya na namba 2 bado yuko shule. Duuuu
 
nlompenda kulko wote aliniomba hela nkamjbu cna akaniambia kwan we c mwanamke"means nkauze il nmpe yy khaa!.
 
Mshamba huyo. Hajui wanaume siku hizi bei yao iko juu zaidi? Angeenda kuuza yeye.
nlompenda kulko wote aliniomba hela nkamjbu cna akaniambia kwan we c mwanamke"means nkauze il nmpe yy khaa!.
 
Sasa siku ukipata ajali kiuno cha kitanga kikamaliza mkataba si itabidi ajinyonge? Ama utamtaftia mdogo wako aliendeleze?
mimi huwa ananiambia na anarudia mara kwa mara kua anamuomba MUNGU atangulie yy kufa..maana nikitangua mimi cjui atafanya nn kwenye hii dunia...huwa lina ni touch sana..hasa nikiwa juu yake namzungushia kiuno changu cha kitanga huwa anatoa machozi na kulirudia hilo neno...huwa akianza kusema tu namziba mdomo kwa kiss
 
Hehehe i am me. Siku hizi mashoga wana bei sana bwana. Mie tumekubaliana siku akitamani tigo tu tunaanza na ya kwake

Na hivyo wamefika mpaka Rombo! Ipo siku atatamani tu kuitumia Tigo!

Nowadays wanasema 'ukinyimwa kwako tafuta kwa jirani'!
unalijua hilo?

Btw, nakuja Pm unitumie breakfast!:lol:
 
Siku nilipomgia bila kupokea nkatuma msg haikujbiwa kesho yake nampigia anasema
"alaf jana ulpo npigia smu alkua nayo mke wangu kwahyo msg kasoma akaifuta sijaona chochote eenh tuendelee unasemaje?".
 
  • Thanks
Reactions: SDG
mara ya mwisho my x gf kanambia OMYGAD nakwenda kwa OBAMA 4 good
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mmh ... No more pain asubuhi umeambiwa hivyo afu jioni unapigiwa simu achana na mpenzi wangu....

Hujakaa sawa unaambiwa joyce nakupenda sana na fatuma nampenda pia sina uamzi namuacha Mungu aamue...... Iyo siku nilichizika kwa mudaa
 
Back
Top Bottom