Duh....pole sana emmy2ny, mi aliniambia anatupenda sana mimi na mtoto wake na kwamba yupo kwaajili yetu. Atatulea kwa kadri atakavyoweza ilmradi tuwe na furaha.
Nusu saa baadae nikaambiwa amefariki kwa ajali ya gari,kwakweli mpk sasa naona km Mungu amenionea sana maana dream zote zimekata ghafla. Nikikumbuka nalia sana, May his soul rest in peace!!!
Nusu saa baadae nikaambiwa amefariki kwa ajali ya gari,kwakweli mpk sasa naona km Mungu amenionea sana maana dream zote zimekata ghafla. Nikikumbuka nalia sana, May his soul rest in peace!!!
Last edited by a moderator: