Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Duh....pole sana emmy2ny, mi aliniambia anatupenda sana mimi na mtoto wake na kwamba yupo kwaajili yetu. Atatulea kwa kadri atakavyoweza ilmradi tuwe na furaha.
Nusu saa baadae nikaambiwa amefariki kwa ajali ya gari,kwakweli mpk sasa naona km Mungu amenionea sana maana dream zote zimekata ghafla. Nikikumbuka nalia sana, May his soul rest in peace!!!
 
Last edited by a moderator:
Duuh page ni noma sana .inanikumbusha mdada moja alikuwa mpz wangu but cku moja nikajagundua ni mshirikina kinoma kila mganga anamjua na baya zaidi alikuwa na mali nyingi sana na nilipata taarifa kwamba alimtoa kafara mama yake mzazi .nikamua kumtema dry .duuh ilikuwa baraha cku hiyo ,dem akadai YEYE UWA HAACHWI HATA CKU MOJA .YEYE NDIYO ANAACHA .ctasahau hiyo kauli hata cku moja .nyege zote ziliniishia mpaka leo hii nawaogopa madem kwa ushirikina ile mbaya .Mpaka imeniathiri kisaikolojia
 
  • Thanks
Reactions: SDG
dah nilimwambiaga
HUNA VALUE KWANGU, UMECHUJA KWANGU
Mpaka kesho hasau:A S 20:
 
Mmhhh Honestly I only remember bad and not goods . At the end I just wish him the best in his life ... Thanks..


You don't have to remember his weaknesses rather practice Godly true purpose on us by remembering even few goodness of him, he surely a human being who actual face life challenging as anybody,remember every one for good as they are coming on your way was never a mistake rather God reason to make you a good person in life.
 
Mi nliambiwa bby nataka chipsi za Survey afu iyo saa 7 ya usiku nipo hall1.
Ila kwa ile miuno ya pakachongo mbona nlimletea.
Ila iliniuma!!!!Sitosahau!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nilimwambia ww ni kibamia ilimuuma mpk akaomba msamaha
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Duh....pole sana emmy2ny, mi aliniambia anatupenda sana mimi na mtoto wake na kwamba yupo kwaajili yetu. Atatulea kwa kadri atakavyoweza ilmradi tuwe na furaha.
Nusu saa baadae nikaambiwa amefariki kwa ajali ya gari,kwakweli mpk sasa naona km Mungu amenionea sana maana dream zote zimekata ghafla. Nikikumbuka nalia sana, May his soul rest in peace!!!

Pole sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
''Naomba na mimi niwe na mwanaume mwingine maana najua wewe hautonioa kwa kuwa una mke wako tayari!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom