kuna wanawake wanapenda game nyie...
Nakubali kbs type hii ni uwaga ni kazi sana kuwaacha ...
Hivi mwanamke asipokupa ngono kuna kingine cha maana atakupa zaidi ya kero?Binafsi sitegemei hela ya mwanamke wala lolote kwa mwanamke zaidi ya ngono,nyumba kusafishwa,kufuliwa na kupikiwa.Vitu vinne yeyote anayetaka zaidi ya hivyo kwa mwanamke ni hakika anataka stress na kero.Mwnamke ameumbwa na vitu viwili kero/karaha/stress pamoja nauwezo wa kupunguzA hizo karaha kwa kutumia papachu ikiwa papachu haitoki kwa wakati anachobakiwa nacho ni KARAHA tu hapo itakubidi ushinde baa au kwenye vijiwe vya kahawa uchelewe kurudi ukute kalala ili walau kiwango cha karaha anachokupa kiwe kdg,uwahi kuamka uende kwenye mishe zako...ili mdumu
Uislamu upo sahihi kabisa mke mmoja hatoshi ,Mimi si muislam ila kwa hili quaran zipo sawa
Cha ajabu eti siku hizi mwanamke analipa kodi hlf anajiona anamchango kweli kwenye familia mi najiona upuuzi tu pika,fua,safisha nyumba ,toa papachu kwa wakati nitakuona wa maaaaana kweli na mwenye msaada kwenye maisha yangu kuliko kunisaidia vitu ambavyo naweza kufanya
Nimeoa imebidi niji adjust kdg kwenye hiyo mentality sababu nahisi nikienda na hiyo mentality sitamuheshimu huyu mwanamke...
Sent using
Jamii Forums mobile app