Ni ngumu kuwa Boss Mashirika ya Umma Tanzania

Ni ngumu kuwa Boss Mashirika ya Umma Tanzania

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Mwaka 2016 nilienda Tanzania baada ya kukaa muda mrefu US. Rafiki yangu ambaye nilisoma naye Primary alikuwa ndiyo auditor mkubwa pale MSD hivyo bila mimi kujua aliongea na Managing Director kuhusu kupata watu wenye ujuzi na kampuni za kusambaza madawa kama MSD

Wakati na maongezi yao yule rafiki yangu akampa email Lauren Bwanankuru ili aweza kufanya mahojiano ya mwanzo ya nafasi ya Director pale wakati wa likizo yangu Tanzania. Wakati huo nilikuwa nafanya kazi kampuni kubwa ya usambazaji ya US ambayo ipo Ohio Cardinal Health: Healthcare Solutions, Logistics & Supplies. Nikapanga siku ya kwenda kwenye mahojiano ili ikiwekana nifanye kazi pale kama Director.

Baada ya kufika pale huyu Managing Director ambaye naye alikuwa bado ni kijana, tulianza kuongea na kuhojiana:
1. Unarudi lini TZ? Nikamwambia nitarudi nikipata kazi siwezi kuacha kazi na kurudi bila kuwa na uhakika
2. Boss: Natafuta Directors lakini ni mpaka tutume maombi serikalini lakini nimependa sana uzoefu wako
3. Mimi: Asante. Je, Directors wote wako wapi? Siwaoni hapa.
4. Boss: Wamesimamishwa na hii bodi mpya kupisha uchunguzi!

Niliogopa na kuanza kuuliza maswali:
1. Mimi: Sasa nataka nijue boss Je hawa Directors wanaripoti kwako au kwa bodi? Boss akasema kwangu mimi
2. Mimi: Je, Director wanafanya kazi kwa kupitia list ya malengo ya mwaka (company goals). Boss hapana
3. Mimi: Hivyo mtu yeyote wizarani kama mkurugenzi, katibu au waziri anaweza akaja na kumsimamisha kazi Director yeyote ? Boss ndiyo

Nikamwangalia usoni nikamwambia moja kwa moja nakuonea huruma sana. Mimi sitaweza kufanya kazi hapa bila kujali pesa au mafao yenu kwasababu zifuatazo:

1. Kwanza inashangaza viongozi kusimamishwa na bodi wakati wewe hujasimamishwa na wanaripoti kwako
2. Inaelekea ukiwa Director kila mtu ni boss wako na sio wewe pekee. Hii mimi sioni kama ni utaratibu mzuri
3. Usipokuwa na malengo ya kampuni na kila Director kujua majukumu yake ya mwaka ni rahisi sana kwa mtu kuja na kunifukuza bila sababu kwa kutafuta sifa tu. Mimi siwezi kuweka familia yangu kwenye mazingira hayo sina shida ya kazi kiasi hicho.

Aliniangalia na kunishangaa kiasi nilivyokuwa wazi kwake. Nikamwambia kazi yako ngumu na wanavopenda sifa nakushauri utafute wakili mzuri maana sio muda utatengenezewa kesi Boss akacheka! Mimi niko clean.

Niliyosema yote yametokea! Kuna utaratibu mbaya kwenye hizi kampuni na ni ngumu sana kupata watu wazuri kwasababu ya siasa.
 
Sawa kabisa, amuzi wako ulikuwa sahihi. Ukiwa CEO wa shirika kama vile ATCL ni shida tu. You are supposed to be answerable to the board theoretically lakini utaona maelekezo mara yametoka kwa waziri wa usafirishaji.

Mara kwa katibu mkuu mara unaambiwa kuna maagizo toka Ikulu! Kufanya kazi na kufikia malengo inakuwa ni adhabu kubwa kwenye haya mashirika kwasababu ya kuingiliwa katika utendaji kazi zao na hasa hasa na wanasiasa.
 
Ha ha ha pale wizara ya maji kuna waziri anachojua ni kutembea na waandishi wa habari na kutumbua tu...
Acha hizo Kaka mbona aweso anapiga kazi vzr tu Yuko very smart na hata urais wanaweza wakampa watanzania mark my words
 
Lakini hata baadhi ya makampuni binafsi makubwa ni hivyo hivyo tu labda unafuu kidogo tu. Mengi yana matrix structure kwa hivyo unaweza usijue boss wako ni nano hasa.
 
Halafu kuna kautaratibu ka waziri ambaye hata elimu ya form 4 hana anaweza kusimama na kumtukana mkurugenzi ambaye ni PHD holder tena kwa fabricated issues.

Acha Africa iendelee kuwa chaka la maliasili kwa wazungu.
 
Kuna sehemu umepotoka kidogo, board of directors huwa inatoa annual plan ambayo inakuwa ndio muongozo wa utekelezaji wa miradi kwa phases ambazo zimepitishwa na board ikiwemo budget ya kila jambo na huwa kwenye vikao vya board kinakuwa na ufuatiliaji wa utekelezaji chini ya kamati ndogondogo za board zinazoundwa na wajumbe wa board na madirectors wa shirika.

Hivyo basi, hakuna mradi unaweza kutekelezwa au kufanyiwa procurement kama haukuwepo kwenye procurement plan ya mwaka husika ambayo hupitishwa na board of directors.

That being said, Mkurugenzi kushindwa kutekeleza mradi accordingly hiyo huwa ni tatizo lake. Hii ni sababu yeye ndio msimamizi mkuu wa management ambayo hukaa vikao vyake on casual basis if not daily basis kwa ajili ya kuweka mikakati ya utekelezaji na kupata ufumbuzi ili kupeleka majibu kwenye board.

Kumbuka kwamba umeajiriwa Utumishi lakini unareport kwenye board. Wakurugenzi huripoti kwenye board maana yake hupeleka majibu au maombi au hutekeleza maagizo ya board.

Kuhusu hayo mengine Sina tatizo nayo
 
Sijui unaongelea nini hasa. Ila binafsi ninachojua wakurugenzi wote wa mashirika ya Umma wanateuliwa na Rais .

Hadi bodi na wajumbe wake ni wateule wa Rais.
 
Mwaka 2016 nilienda Tanzania baada ya kukaa muda mrefu US. Rafiki yangu ambaye nilisoma naye Primary alikuwa ndiyo auditor mkubwa pale MSD hivyo bila mimi kujua aliongea na Managing Director kuhusu kupata watu wenye ujuzi na kampuni za kusambaza madawa kama MSD

Wakati na maongezi yao yule rafiki yangu akampa email Lauren Bwanankuru ili aweza kufanya mahojiano ya mwanzo ya nafasi ya Director pale wakati wa likizo yangu Tanzania. Wakati huo nilikuwa nafanya kazi kampuni kubwa ya usambazaji ya US ambayo ipo Ohio Cardinal Health: Healthcare Solutions, Logistics & Supplies. Nikapanga siku ya kwenda kwenye mahojiano ili ikiwekana nifanye kazi pale kama Director.

Baada ya kufika pale huyu Managing Director ambaye naye alikuwa bado ni kijana, tulianza kuongea na kuhojiana:
1. Unarudi lini TZ? Nikamwambia nitarudi nikipata kazi siwezi kuacha kazi na kurudi bila kuwa na uhakika
2. Boss: Natafuta Directors lakini ni mpaka tutume maombi serikalini lakini nimependa sana uzoefu wako
3. Mimi: Asante. Je, Directors wote wako wapi? Siwaoni hapa.
4. Boss: Wamesimamishwa na hii bodi mpya kupisha uchunguzi!

Niliogopa na kuanza kuuliza maswali:
1. Mimi: Sasa nataka nijue boss Je hawa Directors wanaripoti kwako au kwa bodi? Boss akasema kwangu mimi
2. Mimi: Je, Director wanafanya kazi kwa kupitia list ya malengo ya mwaka (company goals). Boss hapana
3. Mimi: Hivyo mtu yeyote wizarani kama mkurugenzi, katibu au waziri anaweza akaja na kumsimamisha kazi Director yeyote ? Boss ndiyo

Nikamwangalia usoni nikamwambia moja kwa moja nakuonea huruma sana. Mimi sitaweza kufanya kazi hapa bila kujali pesa au mafao yenu kwasababu zifuatazo:

1. Kwanza inashangaza viongozi kusimamishwa na bodi wakati wewe hujasimamishwa na wanaripoti kwako
2. Inaelekea ukiwa Director kila mtu ni boss wako na sio wewe pekee. Hii mimi sioni kama ni utaratibu mzuri
3. Usipokuwa na malengo ya kampuni na kila Director kujua majukumu yake ya mwaka ni rahisi sana kwa mtu kuja na kunifukuza bila sababu kwa kutafuta sifa tu. Mimi siwezi kuweka familia yangu kwenye mazingira hayo sina shida ya kazi kiasi hicho.

Aliniangalia na kunishangaa kiasi nilivyokuwa wazi kwake. Nikamwambia kazi yako ngumu na wanavopenda sifa nakushauri utafute wakili mzuri maana sio muda utatengenezewa kesi Boss akacheka! Mimi niko clean.

Niliyosema yote yametokea! Kuna utaratibu mbaya kwenye hizi kampuni na ni ngumu sana kupata watu wazuri kwasababu ya siasa.


Nilishasema haya kuhusu MSD.... Kila mtu ni boss wako!!
 
Kuna sehemu umepotoka kidogo, board of directors huwa inatoa annual plan ambayo inakuwa ndio muongozo wa utekelezaji wa miradi kwa phases ambazo zimepitishwa na board ikiwemo budget ya kila jambo na huwa kwenye vikao vya board kinakuwa na ufuatiliaji wa utekelezaji chini ya kamati ndogondogo za board zinazoundwa na wajumbe wa board na madirectors wa shirika.

Hivyo basi, hakuna mradi unaweza kutekelezwa au kufanyiwa procurement kama haukuwepo kwenye procurement plan ya mwaka husika ambayo hupitishwa na board of directors.

That being said, Mkurugenzi kushindwa kutekeleza mradi accordingly hiyo huwa ni tatizo lake. Hii ni sababu yeye ndio msimamizi mkuu wa management ambayo hukaa vikao vyake on casual basis if not daily basis kwa ajili ya kuweka mikakati ya utekelezaji na kupata ufumbuzi ili kupeleka majibu kwenye board.

Kumbuka kwamba umeajiriwa Utumishi lakini unareport kwenye board. Wakurugenzi huripoti kwenye board maana yake hupeleka majibu au maombi au hutekeleza maagizo ya board.

Kuhusu hayo mengine Sina tatizo nayo


Hujanielewa kila mfanyakazi kwenye kampuni ni lazima awe na goals za mwaka ili uweze kupima utendaji wake. Tatizo la makampuni mengi ya serikali hayana na hii ndiyo sababu kubwa ya mimi kukataa kazi pale. Maana yake yake ni nini ukiwa na malengo kama boss huwezi kufukuzwa kazi kwasababu ya ufanisi! Usipokuwa na malengo utafukuzwa hata kwa kusingizia halafu mafao yako huyapati!
 
Labda anamaanisha katiba inaruhusu mtu ambaye hana form 4 kuwa waziri.

Pia wengi wao Wana elimu kubwa kimaandishi ila wakikuelezea walivyopenyapenya penya mpaka kupata hizo elimu zao kubwa inabaki unaguna tu kimoyomoyo
Mtaje waziri mmoja ambaye hata elimu ya form 4 hana
 
Nilishasema haya kuhusu MSD.... Kila mtu ni boss wako!!
Hii ndo Tanzania bwana cha msingi wewe angalia maisha yako kwanza huko mbele....hayo Mambo ya kufanya kazi Tz piga chini.....watu wa hali ya chini wanaambiwa wawe wazalendo wakati CCM na familia zao na ndugu zao wanakula mema ya nchi
 
Mwaka 2016 nilienda Tanzania baada ya kukaa muda mrefu US. Rafiki yangu ambaye nilisoma naye Primary alikuwa ndiyo auditor mkubwa pale MSD hivyo bila mimi kujua aliongea na Managing Director kuhusu kupata watu wenye ujuzi na kampuni za kusambaza madawa kama MSD

Wakati na maongezi yao yule rafiki yangu akampa email Lauren Bwanankuru ili aweza kufanya mahojiano ya mwanzo ya nafasi ya Director pale wakati wa likizo yangu Tanzania. Wakati huo nilikuwa nafanya kazi kampuni kubwa ya usambazaji ya US ambayo ipo Ohio Cardinal Health: Healthcare Solutions, Logistics & Supplies. Nikapanga siku ya kwenda kwenye mahojiano ili ikiwekana nifanye kazi pale kama Director.

Baada ya kufika pale huyu Managing Director ambaye naye alikuwa bado ni kijana, tulianza kuongea na kuhojiana:
1. Unarudi lini TZ? Nikamwambia nitarudi nikipata kazi siwezi kuacha kazi na kurudi bila kuwa na uhakika
2. Boss: Natafuta Directors lakini ni mpaka tutume maombi serikalini lakini nimependa sana uzoefu wako
3. Mimi: Asante. Je, Directors wote wako wapi? Siwaoni hapa.
4. Boss: Wamesimamishwa na hii bodi mpya kupisha uchunguzi!

Niliogopa na kuanza kuuliza maswali:
1. Mimi: Sasa nataka nijue boss Je hawa Directors wanaripoti kwako au kwa bodi? Boss akasema kwangu mimi
2. Mimi: Je, Director wanafanya kazi kwa kupitia list ya malengo ya mwaka (company goals). Boss hapana
3. Mimi: Hivyo mtu yeyote wizarani kama mkurugenzi, katibu au waziri anaweza akaja na kumsimamisha kazi Director yeyote ? Boss ndiyo

Nikamwangalia usoni nikamwambia moja kwa moja nakuonea huruma sana. Mimi sitaweza kufanya kazi hapa bila kujali pesa au mafao yenu kwasababu zifuatazo:

1. Kwanza inashangaza viongozi kusimamishwa na bodi wakati wewe hujasimamishwa na wanaripoti kwako
2. Inaelekea ukiwa Director kila mtu ni boss wako na sio wewe pekee. Hii mimi sioni kama ni utaratibu mzuri
3. Usipokuwa na malengo ya kampuni na kila Director kujua majukumu yake ya mwaka ni rahisi sana kwa mtu kuja na kunifukuza bila sababu kwa kutafuta sifa tu. Mimi siwezi kuweka familia yangu kwenye mazingira hayo sina shida ya kazi kiasi hicho.

Aliniangalia na kunishangaa kiasi nilivyokuwa wazi kwake. Nikamwambia kazi yako ngumu na wanavopenda sifa nakushauri utafute wakili mzuri maana sio muda utatengenezewa kesi Boss akacheka! Mimi niko clean.

Niliyosema yote yametokea! Kuna utaratibu mbaya kwenye hizi kampuni na ni ngumu sana kupata watu wazuri kwasababu ya siasa.


Kuhusu makampuni ya serikali kaa mbali
 
Nafasi za lijinga kabisa, PM boss wako, waziri boss wako, Katibu mkuu boss wako, kamishna, bodi ya wakurugenzi, mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya.

Yaaani Hadi spika boss wako.
Hadi Bashite naye anakuwa boss wako.
Ni shiidaa yaani hadi balozi wa nyuma 10 naye anakuwa boss wako.
 
Back
Top Bottom