Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Kwa uzoefu nilionao sasa ni ngumu sana kwa adui au mtu chuki, au kinyongo kuficha uadui. Mara nyingi sana mtu anaweza kuwa anakuchukia lakini anakuchekea chekea.
Yaani anajifanya kuonyesha sura ya bashasha na mwingine hufikia hata kujifanya ni rafiki yako mkubwa. Kwa upande mwingine mwanamke anaweza kuja anajifanya anahitaji mapenzi na wewe, lakini ukimkazia hapo utagundua alitumwa kukumaliza lakini ameshindwa anaanza kuonyesha makucha yake.
Yaani anajifanya kuonyesha sura ya bashasha na mwingine hufikia hata kujifanya ni rafiki yako mkubwa. Kwa upande mwingine mwanamke anaweza kuja anajifanya anahitaji mapenzi na wewe, lakini ukimkazia hapo utagundua alitumwa kukumaliza lakini ameshindwa anaanza kuonyesha makucha yake.