Ni ngumu sana kumpata mchumba/mpenzi asiyetanguliza pesa mbele kizazi hiki

Ni ngumu sana kumpata mchumba/mpenzi asiyetanguliza pesa mbele kizazi hiki

Nazungumia hawa omba omba wanajifanya kama special group mbovu unakuta mshahara anakuzunguka hata mara 2 ila bado tu ana omba omba pesa zako wewe mwamba umevaa kiatu mpaka kimepinda yeye anaviatu pesa 14 na bado anakuomba mpunga wa kunununa viatu
Umeandika kwa hisia Kali Sana mkuu ila umenena ukweli kbsa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ubaya ni kuwa raha mnapata wote na hela mwanaume ndio analiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe mnakubali kuwa tunawatombagaa vizuri sasa hapa mbona mnasemaga tunawachafua tuu
 
Back
Top Bottom