Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari za siku bibie
Umeandika kwa hisia Kali Sana mkuu ila umenena ukweli kbsaNazungumia hawa omba omba wanajifanya kama special group mbovu unakuta mshahara anakuzunguka hata mara 2 ila bado tu ana omba omba pesa zako wewe mwamba umevaa kiatu mpaka kimepinda yeye anaviatu pesa 14 na bado anakuomba mpunga wa kunununa viatu
[emoji39][emoji39][emoji39]sio kivileeeeee ni vile tu hali ya uchumi sometimes inatununiaIla hela zetu tamuuuu
Nyie sio sometimes ni muda wote ata kama mna vihela vyenu.[emoji39][emoji39][emoji39]sio kivileeeeee ni vile tu hali ya uchumi sometimes inatununia
SASA je[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyie sio sometimes ni muda wote ata kama mna vihela vyenu.
Hela zenu tamu ila za mwanaume ni tamu zaidi
Sawa na nyie pia watamu...wacha tuburudishaneSASA je[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ubaya ni kuwa raha mnapata wote na hela mwanaume ndio analiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa na nyie pia watamu...wacha tuburudishane
Kumbe mnakubali kuwa tunawatombagaa vizuri sasa hapa mbona mnasemaga tunawachafua tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ubaya ni kuwa raha mnapata wote na hela mwanaume ndio analiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]