REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Kwanza Kitendo Cha chama cha upinzani kukiunga mkono chama cha tawala ilikua ajabu kidogo japo unaeza pia kuitafsiri vinginevyo na ukawa right.
Cha kushangaza leo chadema pros wote wanaisifia mahakama ya Kenya kwa kutengua ushindi wa mtu wao Uhuru Kenyatta
Leo ni siku mbaya sana sana kwa Jubilee na Kenyatta ni siku ambayo mahakama imewaweka kwenye aibu kwamba walikua wezi na waongo lakini chadema wanafurahi sana na kuisifia mahakama imetenda haki
Is anyone get these people Jamani au ni mimi peke yangu siwaelewi wamebadilika badala ya kuwa against the cort judgment wanaiunga tena mkono bila kujua what they are doing.
Sababu nakumbuka wakati tume ya uchaguzi Kenya wanamtangaza Kenyatta hawa hawa waliisifia sana na kutaka tume yetu iige Kenya sababu walikua fare and free lakini leo wamewageuka tena hahaha Duh!
Note, billion moja za uchaguzi uliobatilishwa ni kama zimetupwa chooni ni pesa nyingi sana kama trillion 2 na nusu ambazo zingetosha kuipaisha Kenya kwenye maendeleo makubwa sana, huu uamuzi ni wa kipumbavu na utawagharimu sana wakenya mna vitu sensitive vya kushughulikia kwa maslahi ya Wakenya wengi kuliko hizi sarakasi za kujaza matumbo ya watu.
Cha kushangaza leo chadema pros wote wanaisifia mahakama ya Kenya kwa kutengua ushindi wa mtu wao Uhuru Kenyatta
Leo ni siku mbaya sana sana kwa Jubilee na Kenyatta ni siku ambayo mahakama imewaweka kwenye aibu kwamba walikua wezi na waongo lakini chadema wanafurahi sana na kuisifia mahakama imetenda haki
Is anyone get these people Jamani au ni mimi peke yangu siwaelewi wamebadilika badala ya kuwa against the cort judgment wanaiunga tena mkono bila kujua what they are doing.
Sababu nakumbuka wakati tume ya uchaguzi Kenya wanamtangaza Kenyatta hawa hawa waliisifia sana na kutaka tume yetu iige Kenya sababu walikua fare and free lakini leo wamewageuka tena hahaha Duh!
Note, billion moja za uchaguzi uliobatilishwa ni kama zimetupwa chooni ni pesa nyingi sana kama trillion 2 na nusu ambazo zingetosha kuipaisha Kenya kwenye maendeleo makubwa sana, huu uamuzi ni wa kipumbavu na utawagharimu sana wakenya mna vitu sensitive vya kushughulikia kwa maslahi ya Wakenya wengi kuliko hizi sarakasi za kujaza matumbo ya watu.