NimemuelewaMtoa mada anamtupia lawama MO kwa uwekezaji duni Msimbazi japo imefika robo fainali mara 4 na anaipongeza Yanga iliyofika robo fainali baada ya miaka mingi.
una ushaidi wa uyasemayo wewe matakoCAF awatoi nafas za hisan
Simba IPO mbali Sana ukilinganisha na Utopolo kwenye CAF Kwa miaka 4 iliyopita..mashabiki wao wanaulemavu wa akili mpk viongoz wao inakuingiaje akili uombewe kucheza Superleague[emoji38][emoji38]
Haya ni maajabu ya mwaka kutoka kwa mleta udhi. Yaani timu ya yanga iliyo invest vizuri kwenye wachezaji na process ilishindwa kuendelea na michuano mikubwa, badala yake ikaenda kule kwa luzas.
Then simba anayoibeza haijawekeza vizuri ndio ipo huko kwa waliowekeza vizuri.
Swali, je yanga ingeweza kuwatoa wydad?
Matako mwenyeweuna ushaidi wa uyasemayo wewe matako
Kwa hiyo process ipo kwa uto tu ila kwa simba hamna? Sijui mnawaza kwa kutumia nini. Yaani kusajili akina Mudathir ndio process?Trust the process
Wakati huo timu lako hata hatua ya awali kuivuka lilishindwa.Nakubaliana na wewe. Na hii kitu uliyosema uzoefu... hii kitu ndio inawapa nguvu ya kusema kwa mkapa hatoki mtu. Badala yake Raja walikuwa na kazi Rahisi snaa pale Taifa
Kwahiyo wawe serious matokeo hutengenezwa as growth process, sio matarumbeta.
Miaka 4 inaingia Robo fainali yet haivuki hiyo hatua ....... hayo ndio mazoea na wenyewe wanajiamijisha ni mafanikio. Kama unagomea robo fainali kwa miaka 4 , binafsi sioni kama ni maendeleo na ni ishara kuwa hakuna long term
Goals
Cha kushangaza wanaoihofia Waydad ni hawa mburula Utopolo wanaoshiriki Loosers cup baada ya kushindwa kuhimili vishindo vya champions League lakini Simba wenyewe hawana wasiwasi,kuna nyuzi zaidi ya ishirini kila siku humu za Utopolo kuihofia Waydad hivi huu ni ugonjwa gani?Naona comments nyingi za kupeana moyo ; tena kutoka kwa waandishi wa habari wakubwa.
Watu wanaandika magazeti na story za half lela ulela . Hii yote ni kwa sababu tunajua kuwa tuna poor investment and poor scouting. Ndio maana tunatumia maneno mengi sana.
Nimeshawahi kusema hapa kuwa Mpira ni Investment, sio matangazo au blah blah . Lakini siku zote hatujifunzi. Sababu ya Kaizer kututoa last time , was an investment and poor scouting( scouting za kitapeli).
Mabadiliko ya Yanga kwa sasa ni kutokana na Investment, hata kama ni ndogo, na kama Yanga akifanya Investment zaid na Club ikawa na long term plan basi ndani ya miaka 3 ijayo anakwenda kuwa Bingwa wa Africa kama hii consistency ya uwekezaji usio na kelele za kizaramo kama kwa mwafulani zikiendelea.
Simba haina Investment ya kuitoa Wydad , na kudhani kuwa Simba ataitoa Wydad ni moja ya tatizo la afya ya akili ( Poor Mental Health)
Mpira sio kujaza watu au kutoa motivation words kama tupo vitani. Wakati watu wanatumia nguvu nyingi kufanya Investment, wengine wanashinda mitandaoni na kupiga kelele kuwa anapata Hasara, haya ndiyo madhara ya utajiri wa kurith. Kama unapata hasara mbona bado upo, ni another form of UTAPELI wa Mwafulani.
Well, alichofanya Raja ndiyo atakachofanya Wydad. Mark my Words. Hakuna mambo ya Sugar Coat , au mambo ya Inshallah inshallah. Kwanza Wydad kafurahi kuwa na Simba, njia ya kusonga kwake ni kama kutoa unywele kwenye maziwa.
Washabiki wa SSC tujiandae kisaikolojia, hatuna uwezo wa kuitoa Wydad , kama tunawaza kuitoa Wydad kwa uwepo wa Chama, imekula kwetu.
Investment matters a lot , Ahly
Ilikuwa kidogo isiende robo fainali, Investment kati ya Hilal na Ahly na quality ya wachezaji ndiyo iliyoamua wa kwenda robo fainali.
Mpira haujengwi kwa kusumbua watu mitaani na matarumbeta, it's all about investment and scouting ya kibabe.
Yanga anayo nafasi kwenda Nusu fainali kwa asilimia 60%, ni muda wa Yanga, tukubali hizi Timing and let's cherish for their success.
Huu mwaka Yanga anakwenda kuonesha utofauti wa investment and process. Simba mara zote anafika robo fainali, kombe la maluza au Klabu Bingwa: katika Miaka 5 mfululizo, safari yake inaishia robo fainali and yule Muhindi anatuaminisha hayo ndiyo mafanikio. It's awkward kama kila mara unaishia hatua hiyo hiyo; that means you are not learning and huna growth path and long term goals.
It's OVER now , Tanzaania kupitia Dar es salaam Young Africans (Yanga ) anakwenda kuvunja huu mwiko na kutinga nusu fainali ambapo SSC ameshindwa kuvuka for the past 5 years.
Nawatakia kila heri Simba kwenye game yao na Wydad next two weeks , but in truth , ninajua simba haina madhara kwa Wydad kwa namna yoyote ile. Yaani sio game ambayo ninashauku ya kuiona, kwa sababu matokeo yapo wazi.
Game ya Rivers na Yanga, inatia hamasa kwa sababu hata investment zao zinalingana na uwezo pia wa players hawajaachana sana. Anything can happen.
Kama Rivers walivyowamanueni hapo kwa Nkapa wakaenda kumalizia kuwakeketa kule Port Harcourt.Ngoja tuone kwa mara nyingine kama kwa Mkapa hatoki mtu. Maana Raja, waliwafanyia kitu mbaya. Na sasa ni kaka zao Wydad!
Wapumbavu sana hawa kima wa pori la UtopoloWewe river hakukukanda kwa mkapa, tatizo la wana utopolo wanaiwaza Simba kuliko Rivers .
Acha woga we mtoto wa kikeNashauri hii game tucheze Kama under dog kukaa nyuma kusubir opportunity ya kaunta na set pieces basi..ila ujuaji tukifanya ni mkono kwa mkapa na Morocco yaan ni kucheza Kama hatuna haraka hata Kama ni kwa mkapa
Ni ushamba na ulimbukeni wa kushiriki haya mashindano wamezoea kombe Lao la mbuzi.Watu wanavyozungumzia investment, utadhani kuweka hela ni sawa na kufungua chupa ya serengeti lite
Vipi yanga yupo CAF CHAMPION LEAGUE na Simba mbovu ipo shirikisho acha ushabiki maandazi utopolo ni mbovuFact, Umeandika mambo Ya msingi Sana bila ushabiki
Yanga anafanya proper investment isiyo na ujanja ujanja
Simba anachofanya ni kuendelea kukalili kwamba atatumia uzoefu miaka yote ..
Football ya leo ni organization kwanza kwenye kila idara.
Coaching ya wachezaji, chakula, matibabu, motisha, scouting, na mambo ya kisakolojia kwa wachezaji then uzoefu.!
Uzoefu unabaki kuwa ni factor moja tu ingekuwa uzoefu tu ndio factor arsenal asingesumbua timu kubwa namna ile EPL.
Si Tff inawalea utopolo ndo wanadhani na CAF ina mambo ya kifala kuwabeba utopoloCAF awatoi nafas za hisan
Simba IPO mbali Sana ukilinganisha na Utopolo kwenye CAF Kwa miaka 4 iliyopita..mashabiki wao wanaulemavu wa akili mpk viongoz wao inakuingiaje akili uombewe kucheza Superleague[emoji38][emoji38]
Mqnchester kila siku anafungwa na vitimu vidogoNaona comments nyingi za kupeana moyo ; tena kutoka kwa waandishi wa habari wakubwa.
Watu wanaandika magazeti na story za half lela ulela . Hii yote ni kwa sababu tunajua kuwa tuna poor investment and poor scouting. Ndio maana tunatumia maneno mengi sana.
Nimeshawahi kusema hapa kuwa Mpira ni Investment, sio matangazo au blah blah . Lakini siku zote hatujifunzi. Sababu ya Kaizer kututoa last time , was an investment and poor scouting( scouting za kitapeli).
Mabadiliko ya Yanga kwa sasa ni kutokana na Investment, hata kama ni ndogo, na kama Yanga akifanya Investment zaid na Club ikawa na long term plan basi ndani ya miaka 3 ijayo anakwenda kuwa Bingwa wa Africa kama hii consistency ya uwekezaji usio na kelele za kizaramo kama kwa mwafulani zikiendelea.
Simba haina Investment ya kuitoa Wydad , na kudhani kuwa Simba ataitoa Wydad ni moja ya tatizo la afya ya akili ( Poor Mental Health)
Mpira sio kujaza watu au kutoa motivation words kama tupo vitani. Wakati watu wanatumia nguvu nyingi kufanya Investment, wengine wanashinda mitandaoni na kupiga kelele kuwa anapata Hasara, haya ndiyo madhara ya utajiri wa kurith. Kama unapata hasara mbona bado upo, ni another form of UTAPELI wa Mwafulani.
Well, alichofanya Raja ndiyo atakachofanya Wydad. Mark my Words. Hakuna mambo ya Sugar Coat , au mambo ya Inshallah inshallah. Kwanza Wydad kafurahi kuwa na Simba, njia ya kusonga kwake ni kama kutoa unywele kwenye maziwa.
Washabiki wa SSC tujiandae kisaikolojia, hatuna uwezo wa kuitoa Wydad , kama tunawaza kuitoa Wydad kwa uwepo wa Chama, imekula kwetu.
Investment matters a lot , Ahly
Ilikuwa kidogo isiende robo fainali, Investment kati ya Hilal na Ahly na quality ya wachezaji ndiyo iliyoamua wa kwenda robo fainali.
Mpira haujengwi kwa kusumbua watu mitaani na matarumbeta, it's all about investment and scouting ya kibabe.
Yanga anayo nafasi kwenda Nusu fainali kwa asilimia 60%, ni muda wa Yanga, tukubali hizi Timing and let's cherish for their success.
Huu mwaka Yanga anakwenda kuonesha utofauti wa investment and process. Simba mara zote anafika robo fainali, kombe la maluza au Klabu Bingwa: katika Miaka 5 mfululizo, safari yake inaishia robo fainali and yule Muhindi anatuaminisha hayo ndiyo mafanikio. It's awkward kama kila mara unaishia hatua hiyo hiyo; that means you are not learning and huna growth path and long term goals.
It's OVER now , Tanzaania kupitia Dar es salaam Young Africans (Yanga ) anakwenda kuvunja huu mwiko na kutinga nusu fainali ambapo SSC ameshindwa kuvuka for the past 5 years.
Nawatakia kila heri Simba kwenye game yao na Wydad next two weeks , but in truth , ninajua simba haina madhara kwa Wydad kwa namna yoyote ile. Yaani sio game ambayo ninashauku ya kuiona, kwa sababu matokeo yapo wazi.
Game ya Rivers na Yanga, inatia hamasa kwa sababu hata investment zao zinalingana na uwezo pia wa players hawajaachana sana. Anything can happen.
Ila yanga atamtoa Rivers wakati alikandwa nje ndaniHii ni Motivation words. Huwezi kupanda mahind uvune maarage. Haiwezekani
Simba hawezi kumtoa Wilydad never . Tutarudi hapa
Mkuu mleta mada kasema eti hao waydad wameinvest mpaka kwenye game psychology.Niseme yangu machache tu, pamoja na investment wakati mwingine game psychology inaweza kupindua matokeo, simba dhaifu ikaipiga pasi kutarajia wakawafurusha waarabu, Yanga inayopewa nafasi wakafurushwa na River United.
Tuweke akiba ya maneno.
Mbona wapo vizuri wana Beleke, Onyango the wonder kid kumbuka huko benchi yupo Sawadogo.Naona comments nyingi za kupeana moyo ; tena kutoka kwa waandishi wa habari wakubwa.
Watu wanaandika magazeti na story za half lela ulela . Hii yote ni kwa sababu tunajua kuwa tuna poor investment and poor scouting. Ndio maana tunatumia maneno mengi sana.
Nimeshawahi kusema hapa kuwa Mpira ni Investment, sio matangazo au blah blah . Lakini siku zote hatujifunzi. Sababu ya Kaizer kututoa last time , was an investment and poor scouting( scouting za kitapeli).
Mabadiliko ya Yanga kwa sasa ni kutokana na Investment, hata kama ni ndogo, na kama Yanga akifanya Investment zaid na Club ikawa na long term plan basi ndani ya miaka 3 ijayo anakwenda kuwa Bingwa wa Africa kama hii consistency ya uwekezaji usio na kelele za kizaramo kama kwa mwafulani zikiendelea.
Simba haina Investment ya kuitoa Wydad , na kudhani kuwa Simba ataitoa Wydad ni moja ya tatizo la afya ya akili ( Poor Mental Health)
Mpira sio kujaza watu au kutoa motivation words kama tupo vitani. Wakati watu wanatumia nguvu nyingi kufanya Investment, wengine wanashinda mitandaoni na kupiga kelele kuwa anapata Hasara, haya ndiyo madhara ya utajiri wa kurith. Kama unapata hasara mbona bado upo, ni another form of UTAPELI wa Mwafulani.
Well, alichofanya Raja ndiyo atakachofanya Wydad. Mark my Words. Hakuna mambo ya Sugar Coat , au mambo ya Inshallah inshallah. Kwanza Wydad kafurahi kuwa na Simba, njia ya kusonga kwake ni kama kutoa unywele kwenye maziwa.
Washabiki wa SSC tujiandae kisaikolojia, hatuna uwezo wa kuitoa Wydad , kama tunawaza kuitoa Wydad kwa uwepo wa Chama, imekula kwetu.
Investment matters a lot , Ahly
Ilikuwa kidogo isiende robo fainali, Investment kati ya Hilal na Ahly na quality ya wachezaji ndiyo iliyoamua wa kwenda robo fainali.
Mpira haujengwi kwa kusumbua watu mitaani na matarumbeta, it's all about investment and scouting ya kibabe.
Yanga anayo nafasi kwenda Nusu fainali kwa asilimia 60%, ni muda wa Yanga, tukubali hizi Timing and let's cherish for their success.
Huu mwaka Yanga anakwenda kuonesha utofauti wa investment and process. Simba mara zote anafika robo fainali, kombe la maluza au Klabu Bingwa: katika Miaka 5 mfululizo, safari yake inaishia robo fainali and yule Muhindi anatuaminisha hayo ndiyo mafanikio. It's awkward kama kila mara unaishia hatua hiyo hiyo; that means you are not learning and huna growth path and long term goals.
It's OVER now , Tanzaania kupitia Dar es salaam Young Africans (Yanga ) anakwenda kuvunja huu mwiko na kutinga nusu fainali ambapo SSC ameshindwa kuvuka for the past 5 years.
Nawatakia kila heri Simba kwenye game yao na Wydad next two weeks , but in truth , ninajua simba haina madhara kwa Wydad kwa namna yoyote ile. Yaani sio game ambayo ninashauku ya kuiona, kwa sababu matokeo yapo wazi.
Game ya Rivers na Yanga, inatia hamasa kwa sababu hata investment zao zinalingana na uwezo pia wa players hawajaachana sana. Anything can happen.