Ni Ngumu Simba Kumtoa Wydad de Casablanca

Mtoa mada anamtupia lawama MO kwa uwekezaji duni Msimbazi japo imefika robo fainali mara 4 na anaipongeza Yanga iliyofika robo fainali baada ya miaka mingi.
Nimemuelewa
 
CAF awatoi nafas za hisan
Simba IPO mbali Sana ukilinganisha na Utopolo kwenye CAF Kwa miaka 4 iliyopita..mashabiki wao wanaulemavu wa akili mpk viongoz wao inakuingiaje akili uombewe kucheza Superleague[emoji38][emoji38]
una ushaidi wa uyasemayo wewe matako
 

Trust the process
 
Halafu Yanga anayezungumzwa kwamba kafanya uwekezaji mkubwa na ana kikosi imara Yuko kombe la loosers . Simba mbovu yuko klabu bingwa .

Kweli hii nchi haitaishiwa maajabu.
 
Wakati huo timu lako hata hatua ya awali kuivuka lilishindwa.
 
Cha kushangaza wanaoihofia Waydad ni hawa mburula Utopolo wanaoshiriki Loosers cup baada ya kushindwa kuhimili vishindo vya champions League lakini Simba wenyewe hawana wasiwasi,kuna nyuzi zaidi ya ishirini kila siku humu za Utopolo kuihofia Waydad hivi huu ni ugonjwa gani?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Vipi yanga yupo CAF CHAMPION LEAGUE na Simba mbovu ipo shirikisho acha ushabiki maandazi utopolo ni mbovu
 
CAF awatoi nafas za hisan
Simba IPO mbali Sana ukilinganisha na Utopolo kwenye CAF Kwa miaka 4 iliyopita..mashabiki wao wanaulemavu wa akili mpk viongoz wao inakuingiaje akili uombewe kucheza Superleague[emoji38][emoji38]
Si Tff inawalea utopolo ndo wanadhani na CAF ina mambo ya kifala kuwabeba utopolo
 
Mqnchester kila siku anafungwa na vitimu vidogo
 
Hii ni Motivation words. Huwezi kupanda mahind uvune maarage. Haiwezekani

Simba hawezi kumtoa Wilydad never . Tutarudi hapa
Ila yanga atamtoa Rivers wakati alikandwa nje ndani
 
Niseme yangu machache tu, pamoja na investment wakati mwingine game psychology inaweza kupindua matokeo, simba dhaifu ikaipiga pasi kutarajia wakawafurusha waarabu, Yanga inayopewa nafasi wakafurushwa na River United.

Tuweke akiba ya maneno.
Mkuu mleta mada kasema eti hao waydad wameinvest mpaka kwenye game psychology.
 
Mbona wapo vizuri wana Beleke, Onyango the wonder kid kumbuka huko benchi yupo Sawadogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…