Ni Ngumu Simba Kumtoa Wydad de Casablanca

Ni Ngumu Simba Kumtoa Wydad de Casablanca

Naona comments nyingi za kupeana moyo ; tena kutoka kwa waandishi wa habari wakubwa.

Watu wanaandika magazeti na story za half lela ulela . Hii yote ni kwa sababu tunajua kuwa tuna poor investment and poor scouting. Ndio maana tunatumia maneno mengi sana.

Nimeshawahi kusema hapa kuwa Mpira ni Investment, sio matangazo au blah blah . Lakini siku zote hatujifunzi. Sababu ya Kaizer kututoa last time , was an investment and poor scouting( scouting za kitapeli).

Mabadiliko ya Yanga kwa sasa ni kutokana na Investment, hata kama ni ndogo, na kama Yanga akifanya Investment zaid na Club ikawa na long term plan basi ndani ya miaka 3 ijayo anakwenda kuwa Bingwa wa Africa kama hii consistency ya uwekezaji usio na kelele za kizaramo kama kwa mwafulani zikiendelea.

Simba haina Investment ya kuitoa Wydad , na kudhani kuwa Simba ataitoa Wydad ni moja ya tatizo la afya ya akili ( Poor Mental Health)

Mpira sio kujaza watu au kutoa motivation words kama tupo vitani. Wakati watu wanatumia nguvu nyingi kufanya Investment, wengine wanashinda mitandaoni na kupiga kelele kuwa anapata Hasara, haya ndiyo madhara ya utajiri wa kurith. Kama unapata hasara mbona bado upo, ni another form of UTAPELI wa Mwafulani.

Well, alichofanya Raja ndiyo atakachofanya Wydad. Mark my Words. Hakuna mambo ya Sugar Coat , au mambo ya Inshallah inshallah. Kwanza Wydad kafurahi kuwa na Simba, njia ya kusonga kwake ni kama kutoa unywele kwenye maziwa.

Washabiki wa SSC tujiandae kisaikolojia, hatuna uwezo wa kuitoa Wydad , kama tunawaza kuitoa Wydad kwa uwepo wa Chama, imekula kwetu.

Investment matters a lot , Ahly
Ilikuwa kidogo isiende robo fainali, Investment kati ya Hilal na Ahly na quality ya wachezaji ndiyo iliyoamua wa kwenda robo fainali.

Mpira haujengwi kwa kusumbua watu mitaani na matarumbeta, it's all about investment and scouting ya kibabe.

Yanga anayo nafasi kwenda Nusu fainali kwa asilimia 60%, ni muda wa Yanga, tukubali hizi Timing and let's cherish for their success.

Huu mwaka Yanga anakwenda kuonesha utofauti wa investment and process. Simba mara zote anafika robo fainali, kombe la maluza au Klabu Bingwa: katika Miaka 5 mfululizo, safari yake inaishia robo fainali and yule Muhindi anatuaminisha hayo ndiyo mafanikio. It's awkward kama kila mara unaishia hatua hiyo hiyo; that means you are not learning and huna growth path and long term goals.

It's OVER now , Tanzaania kupitia Dar es salaam Young Africans (Yanga ) anakwenda kuvunja huu mwiko na kutinga nusu fainali ambapo SSC ameshindwa kuvuka for the past 5 years.

Nawatakia kila heri Simba kwenye game yao na Wydad next two weeks , but in truth , ninajua simba haina madhara kwa Wydad kwa namna yoyote ile. Yaani sio game ambayo ninashauku ya kuiona, kwa sababu matokeo yapo wazi.

Game ya Rivers na Yanga, inatia hamasa kwa sababu hata investment zao zinalingana na uwezo pia wa players hawajaachana sana. Anything can happen.

Kuna mdau kauliza Yanga kama kawekeza mbona hajaweza hata kuwafunga Vipers? Yanga kama kawekeza yuko namba 9 kwa viwango vya CAF? Yanga kama kawekeza anashiriki Mashindano gani ya CAF?
Yanga ameifunga Mazembe ambyo ni team mbovu msimu huu na kwa mwaka huu team zote za Congo zimeburuza mkia. Je Yanga kama kawekeza anaweza kuifunga Raja? Waydad je? Mtoa mada jibu hayo maswali, usilete porojo!
 
Simba ni timu ya kupongezwa sana.
Ukiangalia katika timu nane zilizoingia champion league Simba ndio timu yenye thamani ndogo zaidi katika uwekezaji.

Namaanisha bajeti ya Simba ni wastani wa Bilion 5 kwa mwaka hali ya kuwa hizo timu nyingine unatumia hadi Bulion 100 kwa mwaka.
Hiyo Alhilal ya Sudani inasajiri mchezaji hadi kwa Bilioni moja na ishatolewa.
Matimu kama Al-Ahly ya Misri mshahara ya mchezaji unafika hadi Billioni 2 kwa mwezi.

Simba hii inayosajiri kwa kuokoteza wachezaji walioachwa na timu zao na wa mikopo inafikia kushindana na vigogo wa uchumi hili sio jambo dogo kabisa.
Timu ya Al-Masri inasajiri mchezaji hadi kwa Billioni mbili na haipo kwenye Champion League.

Hii inaonesha timu ya Simba wachezaji wake wanapambana sana kiasi cha kukaa meza moja na magiant wa uchumi.

Simba IPO Champio League ipo Super Cup. Pongezi nyingi kwao.
 
Safari hii tutawasha moto sio kwenye pitch tu bali uwanja mzima alafu tutarudi kinyume nyume hata kwenye ndege wakati tunaelekea Moroco
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    32.4 KB · Views: 2
Sasa wewe
Huoni this is competition

Kwa hiyo wewe yanga
Kuishia hatua za mwanzo na wewe ulikua kwenye comfort zone au?

This competition needs experience
Na experience yenyewe ndo tunaipatia humu kwenye kujaribu

Simba nahisi kwa waliofuzu mpaka sahivi ni moja ya timu mbili za chini kwenye rank ya CAF
Na sisi ni wa 9 investment ni ndogo by miles tofauti na wengine
Hata tukatoka robo tena sitolaumu

Maana with failure inakuja mbinu mpya
Nguvu itazidi kuongezwa mpaka tutakapofika nusu fainali
Hakuna mtu asiyetaka kufika nusu fainali

Timu yako isikupe kiburi
Mara ya mwisho simba anashiriki CAFCC naye alifika hapa ulipo

Samhani Mjomba , with failure inakuja mbinu mpya, how many times have you failed ?

Takribani 5 years unagomea robo fainali..... kipindi chote hicho hujapata mbinu MPYA .
Failure itakuwa ni mafunzo kama tu utaifanyia kazi hiyo failure , sababu kubwa ya kufail sio mbinu, Bali wachezaji mlio nao ndio uwezo wao umeishia hapo , now you need msajili wachezaji wenye uwezo wa kuwatoa hapo mnapoishia, ndio tunarudi kwa investment na scouting........badala ya kushinda Kwenye mitandao na kulalamika kupata hasara .

Robo fainali ni comform zone yenu , na wenyewe mnaona hayo ndio mafanikio ya juu Kabisa kwenu
 
Tungoje dakika 90 za dulu ya kwanza hapa Kwa mkapa, ndipo tutapata majibu sahihi.[emoji1666][emoji1666][emoji1666]

Sawa Mkuu ila pia tujiandae kisaikolojia

Mambo ya kwa mkapa hatoki mtu ni obsolete.
 
Shika maneno yangu mkuu..."siku SIMBA ikiitoa WYDAD ..Yule The Hon. Hayati aliye changanya mchanga wa Tanganyika na Z'bar atafufuka kuchanganya na Mchele wa USANGU na Wa MAGUGU na Mbeya na Manyara itakuwa ni Nchi Moja....niko palee[emoji419][emoji375][emoji41]

Umesema ukweli tupu . Haiwezekani ila hawa vijana wanapenda kujisugar coat sna.

Kwa miaka mitano mfululizo Simba amecheza robo fainali tena na timu za kawaida tu , ni lini amevuka hiyo hatua ? Hadi leo tuseme kuwa atamtoa Wydad ! Bingwa mtetezi

Why are ridiculing ourselves like that !?

Simba anakikosi gani cha kumtoa Widady?

Orlando tu timu ya kawaida, na moto
Wa kawasha but hawakuweza.

Ndio maana nasema anaeamini Simba anamtoa Widady hata kwa ndumba basi anatatizo la afya ya akili

Mpira ni mathematics and data

Data zinakataa, hesabu zinakataa
 
Orlando tu timu ya kawaida, na moto
Wa kawasha but hawakuweza.
Orlando Pirates ni timu ya kawaida kwa Al Ahly, Mamelodi na Wydad. Haiwezi kuwa ya kawaida kwa Yanga ambayo hata Manning Rangers ya South Afrika iliwashinda
 
Samhani Mjomba , with failure inakuja mbinu mpya, how many times have you failed ?

Takribani 5 years unagomea robo fainali..... kipindi chote hicho hujapata mbinu MPYA .
Failure itakuwa ni mafunzo kama tu utaifanyia kazi hiyo failure , sababu kubwa ya kufail sio mbinu, Bali wachezaji mlio nao ndio uwezo wao umeishia hapo , now you need msajili wachezaji wenye uwezo wa kuwatoa hapo mnapoishia, ndio tunarudi kwa investment na scouting........badala ya kushinda Kwenye mitandao na kulalamika kupata hasara .

Robo fainali ni comform zone yenu , na wenyewe mnaona hayo ndio mafanikio ya juu Kabisa kwenu
With failure ndio comes mbinu mpya

Hayo maswala ya wachezaji wapya ndio mbinu mpya hizo
Halafu mimi sijainvest popote pale simba
Sijawahi invest kwenye timu
Alieshinda kwenye mitandao ni mmoja Mo dewji
HOnestly as long as anaendelea kuinvest anachoinvest mimi sioni tatizo
Na kwangu mimi i believe muda unavozidi kwenda hata quality ya simba inaongezeka
Ni swala la vitu vikiclick

Halafu mkuu kushinda mtandaoni hakufanyi wewe usifuzu kwenda nusu fainali
Anaweza akakaaa kimya na wasifuzu pia

Alafu basi tu
We were unfortunate mara zote tunaingia quarters tunakutana na team inayocheza final
Kaizer chief
Orlando pirates
Tp mazembe


Kingine..japo huoni progress mimi naona
Mwanzo tulitoka kwa aggregate ya 4_1
Ya pili 4_3
Ya tatu tumetoka kwa penalties😁😁😁😄
Huu ndo muda wetu wanasimba😁😁😁
 
With failure ndio comes mbinu mpya

Hayo maswala ya wachezaji wapya ndio mbinu mpya hizo
Halafu mimi sijainvest popote pale simba
Sijawahi invest kwenye timu
Alieshinda kwenye mitandao ni mmoja Mo dewji
HOnestly as long as anaendelea kuinvest anachoinvest mimi sioni tatizo
Na kwangu mimi i believe muda unavozidi kwenda hata quality ya simba inaongezeka
Ni swala la vitu vikiclick

Halafu mkuu kushinda mtandaoni hakufanyi wewe usifuzu kwenda nusu fainali
Anaweza akakaaa kimya na wasifuzu pia

Alafu basi tu
We were unfortunate mara zote tunaingia quarters tunakutana na team inayocheza final
Kaizer chief
Orlando pirates
Tp mazembe


Kingine..japo huoni progress mimi naona
Mwanzo tulitoka kwa aggregate ya 4_1
Ya pili 4_3
Ya tatu tumetoka kwa penalties[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1]
Huu ndo muda wetu wanasimba[emoji16][emoji16][emoji16]

Acha mambo yako Afisa, yaani aggregate ndio progress!!!!!!!
 
Orlando Pirates ni timu ya kawaida kwa Al Ahly, Mamelodi na Wydad. Haiwezi kuwa ya kawaida kwa Yanga ambayo hata Manning Rangers ya South Afrika iliwashinda

Yanga ipi : Kama ni Yanga ya sasa,Mjomba haupo sahihi .
Tunakwenda wote Super League , we will C Nani hamna kitu
 
Naona comments nyingi za kupeana moyo ; tena kutoka kwa waandishi wa habari wakubwa.

Watu wanaandika magazeti na story za half lela ulela . Hii yote ni kwa sababu tunajua kuwa tuna poor investment and poor scouting. Ndio maana tunatumia maneno mengi sana.

Nimeshawahi kusema hapa kuwa Mpira ni Investment, sio matangazo au blah blah . Lakini siku zote hatujifunzi. Sababu ya Kaizer kututoa last time , was an investment and poor scouting( scouting za kitapeli).

Mabadiliko ya Yanga kwa sasa ni kutokana na Investment, hata kama ni ndogo, na kama Yanga akifanya Investment zaid na Club ikawa na long term plan basi ndani ya miaka 3 ijayo anakwenda kuwa Bingwa wa Africa kama hii consistency ya uwekezaji usio na kelele za kizaramo kama kwa mwafulani zikiendelea.

Simba haina Investment ya kuitoa Wydad , na kudhani kuwa Simba ataitoa Wydad ni moja ya tatizo la afya ya akili ( Poor Mental Health)

Mpira sio kujaza watu au kutoa motivation words kama tupo vitani. Wakati watu wanatumia nguvu nyingi kufanya Investment, wengine wanashinda mitandaoni na kupiga kelele kuwa anapata Hasara, haya ndiyo madhara ya utajiri wa kurith. Kama unapata hasara mbona bado upo, ni another form of UTAPELI wa Mwafulani.

Well, alichofanya Raja ndiyo atakachofanya Wydad. Mark my Words. Hakuna mambo ya Sugar Coat , au mambo ya Inshallah inshallah. Kwanza Wydad kafurahi kuwa na Simba, njia ya kusonga kwake ni kama kutoa unywele kwenye maziwa.

Washabiki wa SSC tujiandae kisaikolojia, hatuna uwezo wa kuitoa Wydad , kama tunawaza kuitoa Wydad kwa uwepo wa Chama, imekula kwetu.

Investment matters a lot , Ahly
Ilikuwa kidogo isiende robo fainali, Investment kati ya Hilal na Ahly na quality ya wachezaji ndiyo iliyoamua wa kwenda robo fainali.

Mpira haujengwi kwa kusumbua watu mitaani na matarumbeta, it's all about investment and scouting ya kibabe.

Yanga anayo nafasi kwenda Nusu fainali kwa asilimia 60%, ni muda wa Yanga, tukubali hizi Timing and let's cherish for their success.

Huu mwaka Yanga anakwenda kuonesha utofauti wa investment and process. Simba mara zote anafika robo fainali, kombe la maluza au Klabu Bingwa: katika Miaka 5 mfululizo, safari yake inaishia robo fainali and yule Muhindi anatuaminisha hayo ndiyo mafanikio. It's awkward kama kila mara unaishia hatua hiyo hiyo; that means you are not learning and huna growth path and long term goals.

It's OVER now , Tanzaania kupitia Dar es salaam Young Africans (Yanga ) anakwenda kuvunja huu mwiko na kutinga nusu fainali ambapo SSC ameshindwa kuvuka for the past 5 years.

Nawatakia kila heri Simba kwenye game yao na Wydad next two weeks , but in truth , ninajua simba haina madhara kwa Wydad kwa namna yoyote ile. Yaani sio game ambayo ninashauku ya kuiona, kwa sababu matokeo yapo wazi.

Game ya Rivers na Yanga, inatia hamasa kwa sababu hata investment zao zinalingana na uwezo pia wa players hawajaachana sana. Anything can happen.
Vitu vingine havihitaji thread

Umeandika weeeeeee

Futa basi
 
Mimi Naipenda Simba Ndo Timu Yangu lakini Huyu Mwekezaji Mo Anavyodai Kuwa hapati Faida Kwa kuwekeza Simba Ni Bonge la Jipu anatakiwa Aiache Club Kama alivyo ikuta na Itapata Wa kuiendesha Kwa Maslahi ya Wote Sio yeye anadai hapati Faida na Timu haiachii Sidhani ku a mtu anaendesha Biashara ya Hasara Mhindi Mjinga Sanaa huyu
 
Mimi Naipenda Simba Ndo Timu Yangu lakini Huyu Mwekezaji Mo Anavyodai Kuwa hapati Faida Kwa kuwekeza Simba Ni Bonge la Jipu anatakiwa Aiache Club Kama alivyo ikuta na Itapata Wa kuiendesha Kwa Maslahi ya Wote Sio yeye anadai hapati Faida na Timu haiachii Sidhani ku a mtu anaendesha Biashara ya Hasara Mhindi Mjinga Sanaa huyu

Tapeli yule
Muongo muongo
Guys are you sure yule jamaa ni Tajiri kweli ?
 
Back
Top Bottom