Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wajingawatu Ama kweli wewe ni wajingawatu Unamuuliza kuhusu suna ameweka au bado wakati anaumwa na kuwashwa washwa kwenye uume?Mkuu.@MAKINY Nenda kamuone Daktari atakupa dawa utapona hiyo dalili ya maradhi ya zinaa.suna tayari au bado, mwanangu?
Naogopa kuomba utuwekee picha.... Maana wengine kuelewa hadi picha. ANYWAY, NENDA HOSPITALI BANA...wapendwa wanaJF,kwa anayejua anisaidia huu ni ugonjwa gani unasababishwa na nini nini madhara yake na je tiba yake ni ipi.uume kuwasha sana na baadaye kutoa vipele kwenye shingo ya uume ambavyo haviumi na vinatoa usaha?