ni nin hiki.

ni nin hiki.

MAKINYA

Senior Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
139
Reaction score
54
wapendwa wanaJF,kwa anayejua anisaidia huu ni ugonjwa gani unasababishwa na nini nini madhara yake na je tiba yake ni ipi.uume kuwasha sana na baadaye kutoa vipele kwenye shingo ya uume ambavyo haviumi na vinatoa usaha?
 
Pole sana ndugu yangu.
Ila hujasema kama umewahi kufanya vipimo na kupata matibabu ya hili tatizo lako,maana kama hujafanya,basi moune daktari kwanza.
 
Ni ngumu kujua hapa kwa maelezo hayo pekee, nenda hospitali ukaonane na Daktari, inawezekana ni magonjwa ya ngono!
 
huo ni moja ya magonjwa ya zina mkuu mm mwenyewe nilisha pata hilo tatizo wahi fasta hospital kaka
 
wapendwa wanaJF,kwa anayejua anisaidia huu ni ugonjwa gani unasababishwa na nini nini madhara yake na je tiba yake ni ipi.uume kuwasha sana na baadaye kutoa vipele kwenye shingo ya uume ambavyo haviumi na vinatoa usaha?
Naogopa kuomba utuwekee picha.... Maana wengine kuelewa hadi picha. ANYWAY, NENDA HOSPITALI BANA...
 
Back
Top Bottom