Ni nini chanzo cha kijana wa kiume kusuka ama kuvaa hereni?

Ni nini chanzo cha kijana wa kiume kusuka ama kuvaa hereni?

Watu anaokutana nao mara kwa mara wanaweza kuwa chanzo kama wana fanya hvyo.
 
Wengine wanafata mkumbo..wengine kuvaa hvo wapo kazini hasa katika maswala ya ushoga..wengine zinawasaidia kusafarisha magendo hasa madawa ya kulevya na madini. hahaha ni utafiti tu bado naendelea kutafiti
 
Nyakati hizi ni kawaida kumuona kijana wa kiume akiwa amesuka ama kuvaa hereni. Zamani tulikuwa tukiwaona wasanii ndio walikuwa wakivaa hivyo labda lengo likiwa ni kutaka kujitofautisha na wasio wasanii. Lakini bado kulikuwa na maswali ya kujiuliza.

Leo hii ata wasio wasanii, ni kawaida kabisa kumuona kijana wa kiume akiwa na muonekano huo.

Sasa najiuliza, chanzo cha haya yote ni nini, anakuwa na lengo gani? Inawezekana labda wao wanakuwa wanaiga tu bila kujua au wanajua wanacho kimaanisha?

Kukamatika kwa huyu mwanamziki wa huko marekani, kumenipelekea kufikiri zaidi katika chimbuko hili la wanaume kusuka pamoja na kuvaa hereni.

Kwa sababu hii tabia ilianzia kwa wasanii na sisi wengine tukawa tunaiga bila kujua; inawezekana walipokuwa wakishiriki zile sherehe (party), ziliwapelekea wao kutamani kuwa wanawake; ndio maana wakaanza kusuka na kuvaa hereni, wengine kubadili miondoko, kuvaa nguo za kike n.k

Sisi wa huku wa mbali tukajikuta tunaiga mionekano yao bila kujua chimbuko halisi ya hayo mabadiliko.

Bado sijahitimisha tafiti, Karibu tuumize kichwa ni nini chanzo cha kijana wa kiume kusuka ama kuvaa hereni?​
Kuna watu hawavai heleni wala kusuka lakini wanaenda party, so kwa baadhi ya nchi ni tamaduni zao hasa magharibi na kuna baadhi ya makabila ni desturi zao km wamasai. Ukiona wengine wamefanya hivyo ni kuiga tu ila asilimia kubwa ya watu wa hivyo ni wadau trust me, sitaki kuongea sanaaa😅
 
Nyakati hizi ni kawaida kumuona kijana wa kiume akiwa amesuka ama kuvaa hereni. Zamani tulikuwa tukiwaona wasanii ndio walikuwa wakivaa hivyo labda lengo likiwa ni kutaka kujitofautisha na wasio wasanii. Lakini bado kulikuwa na maswali ya kujiuliza.

Leo hii ata wasio wasanii, ni kawaida kabisa kumuona kijana wa kiume akiwa na muonekano huo.

Sasa najiuliza, chanzo cha haya yote ni nini, anakuwa na lengo gani? Inawezekana labda wao wanakuwa wanaiga tu bila kujua au wanajua wanacho kimaanisha?

Kukamatika kwa huyu mwanamziki wa huko marekani, kumenipelekea kufikiri zaidi katika chimbuko hili la wanaume kusuka pamoja na kuvaa hereni.

Kwa sababu hii tabia ilianzia kwa wasanii na sisi wengine tukawa tunaiga bila kujua; inawezekana walipokuwa wakishiriki zile sherehe (party), ziliwapelekea wao kutamani kuwa wanawake; ndio maana wakaanza kusuka na kuvaa hereni, wengine kubadili miondoko, kuvaa nguo za kike n.k

Sisi wa huku wa mbali tukajikuta tunaiga mionekano yao bila kujua chimbuko halisi ya hayo mabadiliko.

Bado sijahitimisha tafiti, Karibu tuumize kichwa ni nini chanzo cha kijana wa kiume kusuka ama kuvaa hereni?​
Ushoga.
 
Nyakati hizi ni kawaida kumuona kijana wa kiume akiwa amesuka ama kuvaa hereni. Zamani tulikuwa tukiwaona wasanii ndio walikuwa wakivaa hivyo labda lengo likiwa ni kutaka kujitofautisha na wasio wasanii. Lakini bado kulikuwa na maswali ya kujiuliza.

Leo hii ata wasio wasanii, ni kawaida kabisa kumuona kijana wa kiume akiwa na muonekano huo.

Sasa najiuliza, chanzo cha haya yote ni nini, anakuwa na lengo gani? Inawezekana labda wao wanakuwa wanaiga tu bila kujua au wanajua wanacho kimaanisha?

Kukamatika kwa huyu mwanamziki wa huko marekani, kumenipelekea kufikiri zaidi katika chimbuko hili la wanaume kusuka pamoja na kuvaa hereni.

Kwa sababu hii tabia ilianzia kwa wasanii na sisi wengine tukawa tunaiga bila kujua; inawezekana walipokuwa wakishiriki zile sherehe (party), ziliwapelekea wao kutamani kuwa wanawake; ndio maana wakaanza kusuka na kuvaa hereni, wengine kubadili miondoko, kuvaa nguo za kike n.k

Sisi wa huku wa mbali tukajikuta tunaiga mionekano yao bila kujua chimbuko halisi ya hayo mabadiliko.

Bado sijahitimisha tafiti, Karibu tuumize kichwa ni nini chanzo cha kijana wa kiume kusuka ama kuvaa hereni?​
Vile vikaputula vyao sasa. Mapaja yote nje jamani aibu naona mie
 
Back
Top Bottom