Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nauliza kwanini serikali ya tanzania wanatumia nguvu kubwa kuitetea fastjet ilhali ni interprise brand ya waingereza? au wamekula rushwa ya fastjet,ndo maana airtanzania inakufa viongoz wanashadadia mataifa mengine
Kama kenya wali base kwenye mkataba kuikatalia tanzania, basi nao tanzania kufanya reference ya mkataba na kutaka fully implementation ni haki yao ya kimkataba.
UKIJUA HUU WENZIO WANAJUA ULE.
hawajaikatalia tanzania wameikatalia fast jet, fast jet ipo tanzania lakini ni brand ya waingereza.ingekuwa kampuni ya kizalendo ya tanzania isingekataliwa. hii nchi viongoz wanakula rushwa kupitia migongo ya watu wenye akili za kufata upepo kama wewe bila kufuatilia mambo kiundani na kuchanganua kimoja kimoja. by the way mbona hawa viongoz hawa shadadii air tanzania ambazo ndege zake zote zipo gereji na badala yake wanashadadia fastjet ?
TZ tumelala hatuna lolote tuwezalo, kimsingi hatujitambui !!
nauliza kwanini serikali ya tanzania wanatumia nguvu kubwa kuitetea fastjet ilhali ni interprise brand ya waingereza? au wamekula rushwa ya fastjet,ndo maana airtanzania inakufa viongoz wanashadadia mataifa mengine
hawajaikatalia tanzania wameikatalia fast jet, fast jet ipo tanzania lakini ni brand ya waingereza.ingekuwa kampuni ya kizalendo ya tanzania isingekataliwa. hii nchi viongoz wanakula rushwa kupitia migongo ya watu wenye akili za kufata upepo kama wewe bila kufuatilia mambo kiundani na kuchanganua kimoja kimoja. by the way mbona hawa viongoz hawa shadadii air tanzania ambazo ndege zake zote zipo gereji na badala yake wanashadadia fastjet ?