ANT-Propaganda
Member
- Aug 24, 2013
- 52
- 9
Wanafunzi mpaka sasa wamepigwa na bumbuwazi kutokana na uvumi ulioenea kipindi kifupi cha nyuma juu ya mabadiliko haya. kwa Advanced level grade mpya zilipendekezwa kuwa; A(81-100), B(75-80), C(65-74), D(55-64), E(45-54), S(40-44), F(0-39).haya ni majanga ila kabla kamili hayajawa naomba wahusika wajitokeze na kusema kuondoa hali hii ya wasiwasi ili wanafunzi waweze kusoma kwa amani.