MWAMUNU
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 860
- 519
Habari za mihangaiko wajameni, bila shaka ni nzuri.
hivi jamani mi naomba kuuliza (hii ni kwa baadhi ya wanawake ) utakuta mwanamke kaolewa,ana familia yake tena anaheshimika kwenye jamii inayomzunguka,
at the end of the day utasikia huyo huyo mama kafumaniwa au anatoka na mtu mwingine.
swali langu ni nini kinasababisha au ndo shetani anazidi tu kushinda ? au ndo ile dhana kwamba hakuna mwanamke wa peke yako inazidi kujipatia umaarufu ?
naomba kuwasilisha.
hivi jamani mi naomba kuuliza (hii ni kwa baadhi ya wanawake ) utakuta mwanamke kaolewa,ana familia yake tena anaheshimika kwenye jamii inayomzunguka,
at the end of the day utasikia huyo huyo mama kafumaniwa au anatoka na mtu mwingine.
swali langu ni nini kinasababisha au ndo shetani anazidi tu kushinda ? au ndo ile dhana kwamba hakuna mwanamke wa peke yako inazidi kujipatia umaarufu ?
naomba kuwasilisha.