Nyie watu siku si nyingi mtavua nguo kabisa kwa kuwehuka!Habari jf ,naona upepo umebadilika sana na hii ndio siasa sasa .
Kwa walio karibu na Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu wawa ulize ni nini misimamo wao kuhusu Bandari zetu na DP World ?
Ikumbukwe hawa ni waandishi wa kitabu cha ' I am the state .'
Hawa waandishi ni lazima wafuatiliwe tujue ni njaa au laNyie watu siku si nyingi mtavua nguo kabisa kwa kuwehuka!
Kwa hiyo saivi mmeamia kwenye misimamo ya watu?? Sio mkataba tena??
Daaahπ€£π€£π€£
Kuna siku watajiona walifanya ujinga sanaHawana Usemi Wanakula Mema
Hao ni waandishi wajinga waliomsema vibaya Mwamba Jiwe Magufuli kama vile mwandishi Munga Tehenan alivyomwandikaga vibaya Mwalimu Nyerere. Munga Tehenan alishughulikiwa na karma na hawa watashughulikiwa na karma!Habari jf ,naona upepo umebadilika sana na hii ndio siasa sasa .
Kwa walio karibu na Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu wawa ulize ni nini misimamo wao kuhusu Bandari zetu na DP World ?
Ikumbukwe hawa ni waandishi wa kitabu cha ' I am the state .'
Hayo mapumbavu sana achana nayo,yamewekwa mifukoni mwa Nape NnauyeHabari jf ,naona upepo umebadilika sana na hii ndio siasa sasa .
Kwa walio karibu na Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu wawa ulize ni nini misimamo wao kuhusu Bandari zetu na DP World ?
Ikumbukwe hawa ni waandishi wa kitabu cha ' I am the state .'
Lazima wajulikane msimamo wao coz kunakuwa na vitu vya kijinga wanajitokeza haraka kusemea. Hapa tumeambiwa kuna uhuru wa kuongea. Waseme kitu bwanaHawa waandishi ni lazima wafuatiliwe tujue ni njaa au la
ππππHizo ni speaker, ngoja walioshika mic waongee na wao uwaone watakavyo payuka kama Home theatre system za 1000w.
Munga alimwandika vipi Mwalimu Kiongozi,hebu tupe dondoo na alishughulikiwaje na karma?!Hao ni waandishi wajinga waliomsema vibaya Mwamba Jiwe Magufuli kama vile mwandishi Munga Tehenan alivyomwandikaga vibaya Mwalimu Nyerere. Munga Tehenan alishughulikiwa na karma na hawa watashughulikiwa na karma!
[emoji2956][emoji2956]Nyie watu siku si nyingi mtavua nguo kabisa kwa kuwehuka!
Kwa hiyo saivi mmeamia kwenye misimamo ya watu?? Sio mkataba tena??
Daaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wamelambishwa huwezi sikia wakifunga vinywa vyaoHabari jf ,naona upepo umebadilika sana na hii ndio siasa sasa .
Kwa walio karibu na Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu wawa ulize ni nini misimamo wao kuhusu Bandari zetu na DP World ?
Ikumbukwe hawa ni waandishi wa kitabu cha ' I am the state .'