Swahili_Patriot
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 358
- 831
Mwenye kisukikali ndo atakula nyama.
akuna cha sheria walakanuni,kumbuka huu ni mpira wa bongo eneo linaloongoza kwa kuvunja sheria na kanuni.
Mnahela nyinyi,?Kisu kipi wewe mkia? subuli tuwaoneshe mchezo unavyochezwa dadek...
Mnahela nyinyi,?
zaidi ya wachezaji 6 wa Uto wanapewa ziada ya posho na mishahara kutoka Taifa kubwa.haya sema sasa nyinyi ni sisi nani mabingwa fitna na husda?
So kisa kuuliza ndio unaniita mpuuzi bila ya haya. That gives me the audacity to question your reasoning ability. Ny, nikitegemea unipe jibu maana nilishasema ninahitaji ufafanuzi kutoka kwa yeyote ALIYE NA APPROPRIATE INFORMATION. So hili swali halikuhusuKuna watu ni wapuuzi wa kiwango cha juu, umekaa nyuma ya keyboard unawaza BM atafanywa chochote, sahau hilo. Hiyo ni janja janja ya viongozi wenu waliowalaghai wanaenda FIFA sijui na wapi ili wawaaminishe kuwa walikuwa sahihi huku wakijua ni uongo. BM hajalalamika eti hana mkataba na simba, yeye hata kama una mapungufu ameridhia, nyie mnapata wapi mamlaka ya kumpangia aina ya mkatapa?, mwisho kumbuka BM kipindi kile alisema hana mkataba na Utopolo sio ana mkataba mbovu. Endeleeni kujifariji hivyo hivyo.
Unajivunia hela za Mwamedi!! Ngoja asuse halafu muanze kulishwa mihogo yenye pilipili na Mwina Kaduguda.Mnahela nyinyi,?
zaidi ya wachezaji 6 wa Uto wanapewa ziada ya posho na mishahara kutoka Taifa kubwa.haya sema sasa nyinyi ni sisi nani mabingwa fitna na husda?
Wakina mwamedi wapo kama saba wanaitaka hiyo nafasi kwa udi na uvumba,akisusa kunamwengine anaingia chap kidogo.Unajivunia hela za Mwamedi!! Ngoja asuse halafu muanze kulishwa mihogo yenye pilipili na Mwina Kaduguda.
Mkuu hawa utopolo ni comedy tu wanaweza ,hii ishu ya morison hata wenyewe viongozi wanajua wanazuga tu mashabiki zao ili mechi ya simba na yanga ipite ,hakuna cha sheria wala kanuni ,morison ataendelea kucheza hakuna kapunguzwa points wala nini kwanza kanuni zinasema kama mkataba una kasoro mchezaji ndo ataadibiwa na club yake kupigwa faini lakini siyo points ,sasa morison akisemamishwa asicheze pale simba pengo lipi itaonekana mafundi wamejaa morison mwenyewe anatokea benchMnahela nyinyi,?
zaidi ya wachezaji 6 wa Uto wanapewa ziada ya posho na mishahara kutoka Taifa kubwa.haya sema sasa nyinyi ni sisi nani mabingwa fitna na husda?