Benno Bongo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 620
- 704
Tatizo hasa ni nini kupungua kwa mikopo 2021 na watu wengi hususani wanaotoka kaya maskini kupata chini ya asilimia 50.
Karibu tujadiliane
Karibu tujadiliane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ili kila mtu apate japo kidogo kitu.Tatizo hasa ni nini kupungua kwa mikopo 2021 na watu wengi hususani wanaotoka kaya maskini kupata chini ya asilimia 50.
karibu tujadiliane
wewe waliokuzoesha afya lazima upate mkopo ndiyo hao hao wanaokuzoesha kuwa afya siyo lazima upate mkopo. Labda kama kuna sheria katika hili!!!Tujadili nini sasa na washika rungu wameshafanya yao.
Tafsiri ya bodi ya mikopo ni nini?
1.si lazima wote muwe madaktari
2.madaktari wamejaa mitaani
3.afya ni ualimu uliochangamka kwa hivi sasa
4.afya sio kipaumbele tena unakosa mkopo kama anavyoweza kukosa mkopo mwanafunzi anayesomea ususi na ufinyazi
5.serikali haina sehemu ya kuwapeleka madaktari hivi sasa
Kwanini nimelenga afya zaidi hapo juu dhidi ya bodi ya mikopo
1.afya ndo kozi pekee ambazo ukikosa mkopo hasa mtoto wa masikini unayo 90% yakutoenda chuo sababu ada zake ni kubwa mno.
ASANTE
Umepata % ngapi mkuu?Mm nilipata asilimi chache na vyeti vya vifo wazazi niliambatinisha, jambo la msingi ni kupambana tu na kama mapambano huyawezi basi unakaa kando tuu
siyo kwasasa ila kipindi hicho nilipata asilimia 40 tuUmepata % ngapi mkuu?
unajua vigezo vya mtu kuingia kwenye programe ya Tasaf jinsi kulivyo na urasimu? bodi ya mikopo yenyewe imetangaza wanaofadhiliwa na Tasaf ni wanafunzi 782 pekee tanzania nzima! je unaamini kaya maskini tanzania ni za hao wanafunzi 782 tu nje ya wanafunzi zaidi ya laki mojaUna maana gani unaposema "kaya masikini"? According to bodi ya mikopo,kaya masikini Ni wale wanaosaidiwa na TASAF.Hao wamepewa mkopo 100%.Wewe Kama kaya yako sio dependant wa TASAF huna vigezo vya kuitwa kaya masikini.
hahahaha naona upo mkuu,napenda uko real sana hupendi kupindisha mambo.Kukosa mkopo ni malalamiko, na kulipa tena deni ni malalamikooooo.
Mbongo na malalamiko ni pete na kidole
Mbona miaka ya nyuma mambo hayakuwa hivi?ili kila mtu apate japo kidogo kitu.
kulalamika watu wengi walikuwa wanalalamika ile increament ya asilimia 6 kila mwaka nje ya riba ambapo inakulazimu ulipe deni la mkopo mpaka unastaafu tofauti hata na mikopo ya benki ya kufanyia biashara sembuse huu wa elimuKukosa mkopo ni malalamiko, na kulipa tena deni ni malalamikooooo.
Mbongo na malalamiko ni pete na kidole
Wenzetu Wana badilika kwa mwendo wa kwenda mbele, sisi tunarudi nyuma mkuu, inasikitisha sanaMbona miaka ya nyuma mambo hayakuwa hivi?
kama hivi ndio kwenda mbele basi ndio wameharibu kabisaWenzetu Wana badilika kwa mwendo wa kwenda mbele, sisi tunarudi nyuma mkuu, inasikitisha sana
muda wa vikao unakuta mtanzania mwenzetu kashashiba nyama za kutosha kashushia na sharubati basi anasahau kabisa matatizo ya wengine.kama hivi ndio kwenda mbele basi ndio wameharibu kabisa