Tujadili nini sasa na washika rungu wameshafanya yao.
Tafsiri ya bodi ya mikopo ni nini?
1. Si lazima wote muwe madaktari
2. Madaktari wamejaa mitaani
3. Afya ni ualimu uliochangamka kwa hivi sasa
4. Afya sio kipaumbele tena unakosa mkopo kama anavyoweza kukosa mkopo mwanafunzi anayesomea ususi na ufinyazi
5. Serikali haina sehemu ya kuwapeleka madaktari hivi sasa
Kwanini nimelenga afya zaidi hapo juu dhidi ya bodi ya mikopo
1. Afya ndo kozi pekee ambazo ukikosa mkopo hasa mtoto wa masikini unayo 90% yakutoenda chuo sababu ada zake ni kubwa mno.
ASANTE