Ni nini sababu ya kupungua kwa mikopo ya HESLB mwaka 2021?

Ni nini sababu ya kupungua kwa mikopo ya HESLB mwaka 2021?

Tujadili nini sasa na washika rungu wameshafanya yao.

Tafsiri ya bodi ya mikopo ni nini?

1. Si lazima wote muwe madaktari
2. Madaktari wamejaa mitaani
3. Afya ni ualimu uliochangamka kwa hivi sasa
4. Afya sio kipaumbele tena unakosa mkopo kama anavyoweza kukosa mkopo mwanafunzi anayesomea ususi na ufinyazi
5. Serikali haina sehemu ya kuwapeleka madaktari hivi sasa

Kwanini nimelenga afya zaidi hapo juu dhidi ya bodi ya mikopo

1. Afya ndo kozi pekee ambazo ukikosa mkopo hasa mtoto wa masikini unayo 90% yakutoenda chuo sababu ada zake ni kubwa mno.

ASANTE
Good fact.... Wazazi wengi wanauwezo wa kulipia ada... Ila hawatalipa kwa sabab elimu Haina future..... So watoto wengi hawataenda shule
 
Tujadili nini sasa na washika rungu wameshafanya yao.

Tafsiri ya bodi ya mikopo ni nini?

1. Si lazima wote muwe madaktari
2. Madaktari wamejaa mitaani
3. Afya ni ualimu uliochangamka kwa hivi sasa
4. Afya sio kipaumbele tena unakosa mkopo kama anavyoweza kukosa mkopo mwanafunzi anayesomea ususi na ufinyazi
5. Serikali haina sehemu ya kuwapeleka madaktari hivi sasa

Kwanini nimelenga afya zaidi hapo juu dhidi ya bodi ya mikopo

1. Afya ndo kozi pekee ambazo ukikosa mkopo hasa mtoto wa masikini unayo 90% yakutoenda chuo sababu ada zake ni kubwa mno.

ASANTE
Sasa unawasaidiaje wa kozi ya afya kama sio kipaumbele cha serikali na wenye vipaumbele ni watu gani haswa!?
 
Tujadili nini sasa na washika rungu wameshafanya yao.

Tafsiri ya bodi ya mikopo ni nini?

1. Si lazima wote muwe madaktari
2. Madaktari wamejaa mitaani
3. Afya ni ualimu uliochangamka kwa hivi sasa
4. Afya sio kipaumbele tena unakosa mkopo kama anavyoweza kukosa mkopo mwanafunzi anayesomea ususi na ufinyazi
5. Serikali haina sehemu ya kuwapeleka madaktari hivi sasa

Kwanini nimelenga afya zaidi hapo juu dhidi ya bodi ya mikopo

1. Afya ndo kozi pekee ambazo ukikosa mkopo hasa mtoto wa masikini unayo 90% yakutoenda chuo sababu ada zake ni kubwa mno.

ASANTE
Mpaka wanyooke safari hii.Tutazungumza lugha moja tu..
Cc:waione Jumuiya ya Wazazi CCM.
 
Mwaka huu serikali ijitasimini kwa makin kuhusu hili swala nyeti la mikopo kwa wanafunzi wa mwaka wa Kwanza sidhani Kama ni busara na hekima kuwanyima tuition fees, special faculty na n.k kada muhimu katika hii dunia wanafunzi wetu madaktari, manesi na kada nzima ya afya lakini kinachostajabisha machoni na masikioni mwa waulimwengu Hawa ambao kozi hazina kipaumbele ada wamepewa Kila kitu.

JPM R.I.P.
 
Nenda jukwaa la siasa Ukajisomee nyuzi zangu pengine utapata cha Kujifunza. Naona umeshaanza dharau wakati kichwa maji tu kwangu wewe.
Wew mshamba tuu siasa gani unayoijua uchwara tuu,unashindia mikate unajifanya uko safi toa uozo kichwan umo
 
Back
Top Bottom