Promenthous
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 338
- 397
Habari zenu wadau, naishi na mwanamke ambae nimezaa nae mtoto mmoja, sasa anamiaka miwili, tatizo la huyu mzazi mwenzangu anahasira sana kiasi cha kushindwa kuzicontrol.
Kuna wakati aligombana na majirani zake alitishia kuwachoma kisu,nampango wa kubariki nae ndoa lakini nikifikilia swala la hasira zake nakata tamaa
Je, nini suruhisho ya hilo tatizo lake, naomba ushauri wenu.
Kuna wakati aligombana na majirani zake alitishia kuwachoma kisu,nampango wa kubariki nae ndoa lakini nikifikilia swala la hasira zake nakata tamaa
Je, nini suruhisho ya hilo tatizo lake, naomba ushauri wenu.