Ni Nini Wanawake Wanahitaji Toka Kwa Wanaume

Ni Nini Wanawake Wanahitaji Toka Kwa Wanaume

Je, tukisema Ladies wanapenda wawe treated kama Baby Girls ni sahihi?

Naweza kusema ni sahihi, kutokana na vile pia moyo wa mwanamke ulivyoumbwa. Na kama wanaume wangekuwa wanafanya hayo hakuna mwanamke ambaye angekosa uaminifu, kwa sababu mwanamke pia ameumbiwa kuridhika na upendo wa mtu mmoja.

Biblia inasema enyi waume wapendeni wake zenu, ina maana utii wa mwanamke kwa mwanaume inategemeana na jinsi anavyopendwa. Kumbuka upendo una nguvu, kwa hiyo upendo unanivuta mimi mwanamke kukutii wewe mwanaume.

Nina imani kama wanaume wangekuwa wanawapenda wake zao kwa jinsi hiyo kusingekuwa na mambo ya kutafuta haki za wanawake, wala akili ya mwanamke ijipange kukupambana na mwanaume.

Haya yote yametokea kwa sababu wanaume wamekuwa wakatili kwa wanawake, wanatumia nguvu na uwezo walionao kumuumiza na kumkandamiza mwanamke. Kwa sababu hiyo sasa kila mwanamke anayejua kufikiria amekaa mkao wa kukabidhiana na mwanaume mwonevu, na mwanaume hawezi kukubali kushindwa hata siku moja. Kwa gharama yoyote lazima awe juu. Ndio maana tunaona matatizo ya mahusiano na ndoa yanazidi kila siku.

Kwa hiyo sasa Wanaume wapendeni wake zenu, treat them gud, acheni tamaa mbaya, na uonevu, acheni mfumo dume wa kumkandamiza mwanamke.
 
Nyote sahihi ila wanaume wengi hawawezi kutufanyia japo nusu ya tunayoyataka. Lol!
 
Womens want

1.money
2.attention
3.good sex,with a big enough penis..
4.a good laugh,so be charming....

Trust me,the will always be with you,if you can do that

nakubaliana nawe kwenye RED. kwangu mimi hayo yakiwepo, hata kama huna hela poa tu
 
Naweza kusema ni sahihi, kutokana na vile pia moyo wa mwanamke ulivyoumbwa. Na kama wanaume wangekuwa wanafanya hayo hakuna mwanamke ambaye angekosa uaminifu, kwa sababu mwanamke pia ameumbiwa kuridhika na upendo wa mtu mmoja.

Biblia inasema enyi waume wapendeni wake zenu, ina maana utii wa mwanamke kwa mwanaume inategemeana na jinsi anavyopendwa. Kumbuka upendo una nguvu, kwa hiyo upendo unanivuta mimi mwanamke kukutii wewe mwanaume.

Nina imani kama wanaume wangekuwa wanawapenda wake zao kwa jinsi hiyo kusingekuwa na mambo ya kutafuta haki za wanawake, wala akili ya mwanamke ijipange kukupambana na mwanaume.

Haya yote yametokea kwa sababu wanaume wamekuwa wakatili kwa wanawake, wanatumia nguvu na uwezo walionao kumuumiza na kumkandamiza mwanamke. Kwa sababu hiyo sasa kila mwanamke anayejua kufikiria amekaa mkao wa kukabidhiana na mwanaume mwonevu, na mwanaume hawezi kukubali kushindwa hata siku moja. Kwa gharama yoyote lazima awe juu. Ndio maana tunaona matatizo ya mahusiano na ndoa yanazidi kila siku.

Kwa hiyo sasa Wanaume wapendeni wake zenu, treat them gud, acheni tamaa mbaya, na uonevu, acheni mfumo dume wa kumkandamiza mwanamke.

Asante Mjukuu;

Imetulia.

Much respect!
 
ni sahihi. Na nyie si mnapenda kuwa treated like baby boys?

I think sometimes like boys, but sometimes like Heros and may be sometimes like Kings, so the research says.

I trat my wife like a Baby Gal and I call her Baby Angel. In a special way I also trat her like a Queen.

But does that really matter? So, I ask.
 
To me nafikiri love ni namba moja, mengine yanafuata, so napingana nawe kwa kipengele cha kwanza.
 
Womens want

1.money
2.attention
3.good sex,with a big enough penis..
4.a good laugh,so be charming....


Trust me,the will always be with you,if you can do that


Not true at all, hao labda wanaofanya relations as bussiness.
 
Naweza kusema ni sahihi, kutokana na vile pia moyo wa mwanamke ulivyoumbwa. Na kama wanaume wangekuwa wanafanya hayo hakuna mwanamke ambaye angekosa uaminifu, kwa sababu mwanamke pia ameumbiwa kuridhika na upendo wa mtu mmoja.

Biblia inasema enyi waume wapendeni wake zenu, ina maana utii wa mwanamke kwa mwanaume inategemeana na jinsi anavyopendwa. Kumbuka upendo una nguvu, kwa hiyo upendo unanivuta mimi mwanamke kukutii wewe mwanaume.

Nina imani kama wanaume wangekuwa wanawapenda wake zao kwa jinsi hiyo kusingekuwa na mambo ya kutafuta haki za wanawake, wala akili ya mwanamke ijipange kukupambana na mwanaume.

Haya yote yametokea kwa sababu wanaume wamekuwa wakatili kwa wanawake, wanatumia nguvu na uwezo walionao kumuumiza na kumkandamiza mwanamke. Kwa sababu hiyo sasa kila mwanamke anayejua kufikiria amekaa mkao wa kukabidhiana na mwanaume mwonevu, na mwanaume hawezi kukubali kushindwa hata siku moja. Kwa gharama yoyote lazima awe juu. Ndio maana tunaona matatizo ya mahusiano na ndoa yanazidi kila siku.

Kwa hiyo sasa Wanaume wapendeni wake zenu, treat them gud, acheni tamaa mbaya, na uonevu, acheni mfumo dume wa kumkandamiza mwanamke.

Asante LD umemaliza..
 
I think sometimes like boys, but sometimes like Heros and may be sometimes like Kings, so the research says.

I trat my wife like a Baby Gal and I call her Baby Angel. In a special way I also trat her like a Queen.

But does that really matter? So, I ask.

It matters much.
 
Katika mahusiano ya Mwanamke na Mwanaume ili yawe ya mafanikio makubwa ni nini hasa kinampasa Mwanaume afahamu na afanye?



Utafiti mdogo unaonyesha kuwa kuna vitu vya kimsingi ambavyo wanawake wanaangalia na kama hivyo vitakosekana basi mambo huenda yasiwe mazuri katika uhusiano wenu.
  1. Mwanamke anataka awe APPRECIATED: Najua wengi watashangaa kwa nini siyo LOVE kwanza. Ukweli ni kuwa Wanaume wengi wanaweza kumwambia mwanamke I LOVE YOU lakini hawam-APPRECIATE. Kuwa appreciated ni sehemu muhimu sana ya mahusiano ambayo mwanamke anahitaji.
  2. Mwanamke anahitaji “DEEP EMOTIONAL BOND WITH A MAN”. Wanawake wanataka spouse wao waelewe feelings zao na wawe concerned nazo. Na pia wanapenda kujua Spouse wao wanaf hisia zipi na wanapenda kushare hizo feelings na emotions.
  3. Mwanamke anataka Mwanaume ambaye atafeel kuwa yuko “FEMININE and SEXY”. Anataka kuwa na uhakika kuwa yeye ni mwanamke bora aliyekuvutia kuliko wengine na kwa nini. So u must make it clear to her very regular. Vinginevyo anakuwa na wasiwasi. So usisangae unaulizwa mara kwa mara “hivi kwa nini unanipenda” they want an assurance.
  4. Mwanamke anataka mwanaume ambaye ni ROMANTIC. Romance ni ubunifu wa kimapenzi. Hili halielezeki, ni namna ya kuwa katika MAPENZI na FURAHA katika mahusiano. Wanawake wanataka wafanyiwe mambo mengi madogo madogo ambayo yataendelea kuwahakikishia kuwa kweli wanapendwa na wanafurahiwa.
  5. Wanawake wanataka Mwanaume ambaye yuko CONFIDENT au anayejiamini.
  6. Wanawake Wanapenda kuwa na uhakika kuwa wenzi wao ni WAAMINIFU.
  7. Mwanamke anataka Mwanaume mwenye MIPANGO inayoeleweka katika maisha na awe AMBITIOUS. Mwanaume ambaye ni MBUNIFU.
  8. Mwanamke anataka mwanaume Mkarimu na Mtoaji na si mkono wa birika. LOL.
  9. Mwanamke anataka Mwanaume ambaye hatakuwa Mwenzi wake tub ali pia RAFIKI yake.
  10. Mwanamke anapenda Kupendwa hata kama amekuboa. Anataka wakati wote atosheke Mentally; Emotionally and spiritually.
  11. Mwanamke anataka Mwanaume ambaye atampatia SECURITY na PROTECTION. That he will be there when she needs him no matter what.
Michango; maoni na criticism zinakaribishwa.

Hiyo # 8 mbona balaa!!!
 
Womens want

1.money
2.attention
3.good sex,with a big enough penis..
4.a good laugh,so be charming....

Trust me,the will always be with you,if you can do that
I think hapo kwenye red ni subset ya security.
 
Back
Top Bottom