Ni nishati safi ipi ya kupikia ambayo Samia anasifiwa kuipambania na kufanikiwa?

Ni nishati safi ipi ya kupikia ambayo Samia anasifiwa kuipambania na kufanikiwa?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Hili Taifa litaangamizwa na unafiki na uchawa.Samia anasifiwa kwa kupigania nishati safi na salama ya kupikia, ipi hio na wapi? Mbona kasi ya mikaa na kuni iko juu sana?

Nani asie jua matumizi ya Mkaa bado yako juu sana? Nani asie jua hata huko Serikalini kwenyewe taasis zake wanatumia mkaa kwa asilimia 99.99?

Miji mikubwa kama Dar, Arusha, MWanza bado wanatumia mkaa kwa asilimia 99, sasa piga picha hio mikoa mingine au huko Vijijini.

Kwa vijijini Tanzania matumizi ya mkaa na kuni ni asilimia 100 kwa 100.

Na hakuna dalili ya kuonyesha kuna uwezekano watu wakaacha kutumia mkaa na kuni?

Sasa huyu mama hio nishati safi ni ipi hasa? na wapi huko anaipigania kwa sera zipi na kwa mioango ipi?

Umeme nani asie jua gharama za unit zilivyo juu? au anazungumzia gesi? gesi ipi ile mitungi ya gesi wanayo gawa

Taifa hili wajinga wanadanganywa sana na hawa chawa.
 
Sasa hivi ukitaka kula pesa za duniani wewe jitangazie kwamba nchini kwako unasaidia kupambana na mabadiliko ya tabia nchi na kuboresha upatikanaji wa nishati safi.
Hivyo mama anatembea humo humo kupata pesa za misaada ambayo ki uhalisia haifiki kwa wananchi.
Mimi nitakubali samia kwamba amesaidia upatikanaji wa nishati safi kama bei za unit za umeme zitapungua kwamba kwa mfano shs 1000 tunapata 5 unit za umeme kuliko hivi sasa shs 1000 tunapata 2.8 unit za umeme.
Mtungi mdogo wa gesi 6kg uuzwe kwa shs 13,000 badala ya sasa mtungi huo mdogo kuuzwa kwa shs 25,000 hadi 28,000. Hapo hakuna nishati safi bali kuna unafiki msafi kwa sababu kuni na mkaa bado ndio kimbilio la walio wengi katika taifa hili la Tanzania.
 
Hili Taifa litaangamizwa na unafiki na uchawa.Samia anasifiwa kwa kupigania nishati safi na salama ya kupikia, ipi hio na wapi? Mbona kasi ya mikaa na kuni iko juu sana?

Nani asie jua matumizi ya Mkaa bado yako juu sana? Nani asie jua hata huko Serikalini kwenyewe taasis zake wanatumia mkaa kwa asilimia 99.99?

Miji mikubwa kama Dar, Arusha, MWanza bado wanatumia mkaa kwa asilimia 99, sasa piga picha hio mikoa mingine au huko Vijijini.

Kwa vijijini Tanzania matumizi ya mkaa na kuni ni asilimia 100 kwa 100.

Na hakuna dalili ya kuonyesha kuna uwezekano watu wakaacha kutumia mkaa na kuni?

Sasa huyu mama hio nishati safi ni ipi hasa? na wapi huko anaipigania kwa sera zipi na kwa mioango ipi?

Umeme nani asie jua gharama za unit zilivyo juu? au anazungumzia gesi? gesi ipi ile mitungi ya gesi wanayo gawa

Taifa hili wajinga wanadanganywa sana na hawa chawa.
Machawa wa tz ni wapumbavu sana!
 
Hili Taifa litaangamizwa na unafiki na uchawa.Samia anasifiwa kwa kupigania nishati safi na salama ya kupikia, ipi hio na wapi? Mbona kasi ya mikaa na kuni iko juu sana?

Nani asie jua matumizi ya Mkaa bado yako juu sana? Nani asie jua hata huko Serikalini kwenyewe taasis zake wanatumia mkaa kwa asilimia 99.99?

Miji mikubwa kama Dar, Arusha, MWanza bado wanatumia mkaa kwa asilimia 99, sasa piga picha hio mikoa mingine au huko Vijijini.

Kwa vijijini Tanzania matumizi ya mkaa na kuni ni asilimia 100 kwa 100.

Na hakuna dalili ya kuonyesha kuna uwezekano watu wakaacha kutumia mkaa na kuni?

Sasa huyu mama hio nishati safi ni ipi hasa? na wapi huko anaipigania kwa sera zipi na kwa mioango ipi?

Umeme nani asie jua gharama za unit zilivyo juu? au anazungumzia gesi? gesi ipi ile mitungi ya gesi wanayo gawa

Taifa hili wajinga wanadanganywa sana na hawa chawa.
Sisiemu ni siasa za kipuusi sana unajua
 
Hili Taifa litaangamizwa na unafiki na uchawa.Samia anasifiwa kwa kupigania nishati safi na salama ya kupikia, ipi hio na wapi? Mbona kasi ya mikaa na kuni iko juu sana?

Nani asie jua matumizi ya Mkaa bado yako juu sana? Nani asie jua hata huko Serikalini kwenyewe taasis zake wanatumia mkaa kwa asilimia 99.99?

Miji mikubwa kama Dar, Arusha, MWanza bado wanatumia mkaa kwa asilimia 99, sasa piga picha hio mikoa mingine au huko Vijijini.

Kwa vijijini Tanzania matumizi ya mkaa na kuni ni asilimia 100 kwa 100.

Na hakuna dalili ya kuonyesha kuna uwezekano watu wakaacha kutumia mkaa na kuni?

Sasa huyu mama hio nishati safi ni ipi hasa? na wapi huko anaipigania kwa sera zipi na kwa mioango ipi?

Umeme nani asie jua gharama za unit zilivyo juu? au anazungumzia gesi? gesi ipi ile mitungi ya gesi wanayo gawa

Taifa hili wajinga wanadanganywa sana na hawa chawa.
kuna manyumbu yako sambamba na yanachekelea na kuunga mkono upotoshaji huu wa wazi ambao ni useless na completely nonsense.

yanapeana matumaini kwa upotoshaji ambao ni uongo wa kiwango cha juu sana huku yakiwa yamefura na hali ya kua wakijua wazi kabisaa kwamba ni upotoshaji.

serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi wetu makini na kipenzi cha waTanzania wote Dr Samia Suluhu Hassan, hatapunguza spidi ya kuhamasisha na kusambaza gas kwa gharama nafuu kw waTanzania wote 🐒
 
Back
Top Bottom