Ni njia gani ulitumia hadi ukawa Tajiri?

Ili uwe au u-qualify kuwa tajiri unatakiwa uwe na nini? Pisi kali nyingi?
 

Mkuu mbona hukuendelea??
 
Sijatumia mbinu yeyote ndio maana mimi sio tajiri ila tozo itapendeza zaidi
 
To be honestly kwa mganga ,ila si kwamba alinipatia mamilioni no alinipanga sawa na nikaanza na biashara ya kawaida ila baadae daaah AHSANTE MUNGU ,AHSANTE MGANGA wa kweli. Dunia ina mambo kufanikiwa kuna njia nyingi sana
 
To be honestly kwa mganga ,ila si kwamba alinipatia mamilioni no alinipanga sawa na nikaanza na biashara ya kawaida ila baadae daaah AHSANTE MUNGU ,AHSANTE MGANGA wa kweli. Dunia ina mambo kufanikiwa kuna njia nyingi sana

Connection mkuu na mimi niende.
 
To be honestly kwa mganga ,ila si kwamba alinipatia mamilioni no alinipanga sawa na nikaanza na biashara ya kawaida ila baadae daaah AHSANTE MUNGU ,AHSANTE MGANGA wa kweli. Dunia ina mambo kufanikiwa kuna njia nyingi sana
Hapa litakufa JITU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…