Ni njia gani ya ajabu ambayo mhalifu alikamatwa?

Ni njia gani ya ajabu ambayo mhalifu alikamatwa?

daxy Jr

Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
88
Reaction score
307
Mohammad Ashan alikuwa kamanda wa Taliban ambaye alisakwa kwa ku-organize mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Marekani.

MOHHHH.jpg
Kulikuwa na mabango mengi yaliyotangaza kwamba anatafutwa na maafisa wa Marekani na zawadi ya dola 100 kwa yeyote ambaye angetoa taarifa ambazo zingemfanya akamatwe.

Cha ajabu, Mohammad Ashan alijiwasilisha kwa polisi na bango lililokuwa na sura yake na kudai zawadi ya mtafutaji.

main-qimg-2e70ebdddd3878cd8f7c4f90ab2b9942-lq.jpg

'Tulimuuliza, "Je, huyu ni wewe?"' maafisa walisema.

'Mohammad Ashan akajibu kwa shauku, "Ndiyo, ndiyo, ni mimi! Je, ninaweza kupata zawadi yangu sasa?"'

Uchunguzi wa kibayometriki ulithibitisha kuwa ndiye mtu ambaye maafisa wa Marekani walikuwa wakimtafuta.

Alikamatwa papo hapo!😂
 
Mohammad Ashan alikuwa kamanda wa Taliban ambaye alisakwa kwa ku-organize mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Marekani.

Kulikuwa na mabango mengi yaliyotangaza kwamba anatafutwa na maafisa wa Marekani na zawadi ya dola 100 kwa yeyote ambaye angetoa taarifa ambazo zingemfanya akamatwe.

Cha ajabu, Mohammad Ashan alijiwasilisha kwa polisi na bango lililokuwa na sura yake na kudai zawadi ya mtafutaji.


'Tulimuuliza, "Je, huyu ni wewe?"' maafisa walisema.

'Mohammad Ashan akajibu kwa shauku, "Ndiyo, ndiyo, ni mimi! Je, ninaweza kupata zawadi yangu sasa?"'

Uchunguzi wa kibayometriki ulithibitisha kuwa ndiye mtu ambaye maafisa wa Marekani walikuwa wakimtafuta.

Alikamatwa papo hapo!😂
Huyo jamaa ni miyeyusho sana
 
Waarabu kweli vilaza[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mohammad Ashan alikuwa kamanda wa Taliban ambaye alisakwa kwa ku-organize mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Marekani.

Kulikuwa na mabango mengi yaliyotangaza kwamba anatafutwa na maafisa wa Marekani na zawadi ya dola 100 kwa yeyote ambaye angetoa taarifa ambazo zingemfanya akamatwe.

Cha ajabu, Mohammad Ashan alijiwasilisha kwa polisi na bango lililokuwa na sura yake na kudai zawadi ya mtafutaji.


'Tulimuuliza, "Je, huyu ni wewe?"' maafisa walisema.

'Mohammad Ashan akajibu kwa shauku, "Ndiyo, ndiyo, ni mimi! Je, ninaweza kupata zawadi yangu sasa?"'

Uchunguzi wa kibayometriki ulithibitisha kuwa ndiye mtu ambaye maafisa wa Marekani walikuwa wakimtafuta.

Alikamatwa papo hapo!😂
😂😂😂jamaa alipinda yaani kajipeleka mwenyewe
 
Mohammad Ashan alikuwa kamanda wa Taliban ambaye alisakwa kwa ku-organize mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Marekani.

Kulikuwa na mabango mengi yaliyotangaza kwamba anatafutwa na maafisa wa Marekani na zawadi ya dola 100 kwa yeyote ambaye angetoa taarifa ambazo zingemfanya akamatwe.

Cha ajabu, Mohammad Ashan alijiwasilisha kwa polisi na bango lililokuwa na sura yake na kudai zawadi ya mtafutaji.


'Tulimuuliza, "Je, huyu ni wewe?"' maafisa walisema.

'Mohammad Ashan akajibu kwa shauku, "Ndiyo, ndiyo, ni mimi! Je, ninaweza kupata zawadi yangu sasa?"'

Uchunguzi wa kibayometriki ulithibitisha kuwa ndiye mtu ambaye maafisa wa Marekani walikuwa wakimtafuta.

Alikamatwa papo hapo![emoji23]
Vp kuhusu posho yake alipewa???

Hatma yake ilikuaje???

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom