Ni njia ipi ninaweza kutumia kumpata mwanamke kama huyu?

Ni njia ipi ninaweza kutumia kumpata mwanamke kama huyu?

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Kuna mwanamke mmoja tunafanya naye kazi, kwa bahati nzuri nimetokea kumpenda mwanadada huyo. Ila kuna kitu nimekiona cha tofauti kwa mwanadada huyu, yaani tabia yake na hali zipo tofauti na wanawake ambao nimezoea kuwatongoza.

~ Huyu ni mpole sana, siyo mpenda kuongea sana.

~ Pili ni mcheshi, anapenda kucheka sana na watu.

~ Na tatu ni mwepesi wa hasira.

Kuna siku msimamizi wetu wa kazi alikuwa anamfokea kwasababu alikosea. Cha ajabu niliona ameshindwa kujitetea na kuanza kutoa machozi.

Na kwa jinsi ninavyomsoma anaonyesha mapenzi kwake siyo kipaumbele, yaani siyo mtu ambaye anafanana na kupenda. Na kwa bahati mbaya ni yatima hana wazazi.

Nilimwambia akachomoa, alikataa ila bado nampenda. Ila kwa njisi nilivyo mimi na yeye, yaani tupo karibu, tupo kama marafiki. Nikitumia mipango yangu vizuri huyu dada nitampata.

Sasa na shindwa ni tumie njia zipi ili niteke hisia za huyu dada!
 
Kuna mwanamke mmoja tunafanya naye kazi, kwa bahati nzuri nimetokea kumpenda mwanadada huyo. Ila kuna kitu nimekiona cha tofauti kwa mwanadada huyu, yaani tabia yake na hali zipo tofauti na wanawake ambao nimezoea kuwatongoza.

~ Huyu ni mpole sana, siyo mpenda kuongea sana.

~ Pili ni mcheshi, anapenda kucheka sana na watu.

~ Na tatu ni mwepesi wa hasira.

Kuna siku msimamizi wetu wa kazi alikuwa anamfokea kwasababu alikosea. Cha ajabu niliona ameshindwa kujitetea na kuanza kutoa machozi.

Na kwa jinsi ninavyomsoma anaonyesha mapenzi kwake siyo kipaumbele, yaani siyo mtu ambaye anafanana na kupenda. Na kwa bahati mbaya ni yatima hana wazazi.

Nilimwambia akachomoa, alikataa ila bado nampenda. Ila kwa njisi nilivyo mimi na yeye, yaani tupo karibu, tupo kama marafiki. Nikitumia mipango yangu vizuri huyu dada nitampata.

Sasa na shindwa ni tumie njia zipi ili niteke hisia za huyu dada!
Unataka kumuoa au umpitie tu? Eleza nia yako nikusaidie kijana
 
Tatizo tukiwaambia hamskiii,demu ame ku friendzone utakaa hapo kweny friendzone hadi akili ikukae sawa,unasema mpo karibu kama marafiki? Utabaki hapo hapo wakat kuna muhun anaepewa nyapu bureee.

Toka Kweny hiyo friendzone,muonyeshe ww hauko tayari kuwekwa kama rafiki,utakua umemuonyesha una options zingine zaidi yake,hapo kama alikua anakupima tu basi atajileta mwenyew,asipojileta basi utakua umeshasave mda wako, friendzone atakutumia kwa faida yake tu.

Alafu tushasema never date your workmate seriously mtakuja sumbuana tu badae.
 
Back
Top Bottom