Ni ofa gani kutoka nje Yanga alishaikubali? Sisi ndio timu inaongoza kubania wachezaji nchini?

Ni ofa gani kutoka nje Yanga alishaikubali? Sisi ndio timu inaongoza kubania wachezaji nchini?

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Nina uhakika kina timu zimewahi kuomba huduma ya Fei Toto na wachezaji wengine walioko utopolo na wakitoa ofa ya mishahara minono kwa wachezaji.

Ninachouliza tu,kuna mchezaji yupi amewahi kuuzwa nje na hii timu kama si kuwabania tu wachezaji wake?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Nina uhakika kina timu zimewahi kuomba huduma ya Fei Toto na wachezaji wengine walioko utopolo na wakitoa ofa ya mishahara minono kwa wachezaji.

Ninachouliza tu,kuna mchezaji yupi amewahi kuuzwa nje na hii timu kama si kuwabania tu wachezaji wake?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mwaka huu mtatembea mnaongea wenyewe
 
Nina uhakika kina timu zimewahi kuomba huduma ya Fei Toto na wachezaji wengine walioko utopolo na wakitoa ofa ya mishahara minono kwa wachezaji.

Ninachouliza tu,kuna mchezaji yupi amewahi kuuzwa nje na hii timu kama si kuwabania tu wachezaji wake?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wewe kama shabiki mbobezi wa Simba una pitia kipindi kigumu sana Kwa Sasa. Ushauri wa Bure Achana na mitandao ya kijamii Kwa muda Hadi pale akili Yako itakapokaa sawa
 
Nina uhakika kina timu zimewahi kuomba huduma ya Fei Toto na wachezaji wengine walioko utopolo na wakitoa ofa ya mishahara minono kwa wachezaji.

Ninachouliza tu,kuna mchezaji yupi amewahi kuuzwa nje na hii timu kama si kuwabania tu wachezaji wake?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Yanga huwa inawapa limbwata wachezaji wake. Kama ilivyokuwa kwa kina Mrisho Ngasa, Ken Mkapa etc. Safari hii limbwata limegonga mwamba kwa Mpemba
 
Nina uhakika kina timu zimewahi kuomba huduma ya Fei Toto na wachezaji wengine walioko utopolo na wakitoa ofa ya mishahara minono kwa wachezaji.

Ninachouliza tu,kuna mchezaji yupi amewahi kuuzwa nje na hii timu kama si kuwabania tu wachezaji wake?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Msuva alitokea wapi? vijana wa Rage naona mnaonesha vipaji vyenu.
 
Nina uhakika kina timu zimewahi kuomba huduma ya Fei Toto na wachezaji wengine walioko utopolo na wakitoa ofa ya mishahara minono kwa wachezaji.

Ninachouliza tu,kuna mchezaji yupi amewahi kuuzwa nje na hii timu kama si kuwabania tu wachezaji wake?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
ya msuva je?
 
Nonda Shaban "Papii"
Kipindi cha mwal Nyerere[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kipindi hicho watu walikuwa wanapanda CHAI MAHARAGE[emoji23]

Kariakoo to Ubungo njia ya vumbi.....dah,
Alafu Nonda hakuuzwa ila alitoroka.
 
Simon Msuva kwenda Diffah El jadid
Tuisila kisinda kwenda rs berkane
Heriter Makambo Horoya fc
Mrisho Ngasa aliruhusiwa kwenda west ham, waarabu walimtaka akazima simu mwenyewe wala hakuzuiwa
Kolo wahedi bin Ngada
 
Staki kuamini wanaume wazima,wanajiita viongozi wanaenda kumpigia magoti mpemba ili abaki kundini,kwanini???...huo sio uanaume mtu akisema hataki mnaacha aende anakotaka.

Mtu mpaka kanunia mkataba,manake hataki kuendelea kusalia hapo,hamuwezi kuona??.

Mnamsumbua sana mpemba,mpaka kuwatumia kina kikwete sjui kina mwigulu eti kisa mchezaji mmoja??..

Sjawahi kuona timu ambayo inamlilia mchezaji akati awali haikutaka kumpa mahitaji yake kisa ni mtz..

Ni wakati wa kuacha aende anakotaka,na yeye ana familia sio mnamdanganya na vi milioni 3.2 afu morisson mnampa mil 23,kweli????..

Ngoja akili iwakae sawa,kwa Huyu mpemba afu mluguru naye ataliamsha nayeye akitaka kupita njia zile zile za mpemba.
 
Simon Msuva kwenda Diffah El jadid
Tuisila kisinda kwenda rs berkane
Heriter Makambo Horoya fc
Mrisho Ngasa aliruhusiwa kwenda west ham, waarabu walimtaka akazima simu mwenyewe wala hakuzuiwa
Kolo wahedi bin Ngada

Ngasa alienda west ham ya Tandika ??uwage na akili kinyesi wewe
 
Back
Top Bottom