Alishindwa yeye mazoezi ila timu ilikua imeshakubali... ! Tatizo lipo kwa Yanga / Mchezaji husika?Ngasa alienda west ham ya Tandika ??uwage na akili kinyesi wewe
Very bad. Kuna maisha baada ya mpiraSiyo limbwata,huwa wanakalia taarifa hawawaambi wachezaji,mamelod walimtaka mahadhi,yanga wakakausha
Niambie malipo mliyopata kwa kuuza wachezaji hao uliotaja.Simon Msuva kwenda Diffah El jadid
Tuisila kisinda kwenda rs berkane
Heriter Makambo Horoya fc
Mrisho Ngasa aliruhusiwa kwenda west ham, waarabu walimtaka akazima simu mwenyewe wala hakuzuiwa
Kolo wahedi bin Ngada
Ulikua unajikojolea wakati huo utajuaje sasaNgasa alienda west ham ya Tandika ??uwage na akili kinyesi wewe
Kuna sehemu nimezungumzia katokea SimbaKwahiyo Shabaan Nonda alitokea Simba?
Nonsense.Kuna sehemu nimezungumzia katokea Simba
Tangu ujue kutamka hilo Neno imekuwa shidaNonsense.
Aliuzwa na Singida United? Yanga walipopata gawio la mauzo ilikuwa ni sababu ya udalali?Nonda hakuuzwa yanga
Nitajie kiasi alichopata yanga baada ya kumuuza. Nonda aliwahi kuchezea yanga baadae akaondoka kivyakevyake akaibukia Africa kusini Kwa hiyo alipoenda Africa kusini sio Kwa sababu aliuzwa na yanga na kama unabisha elezea aliuzwa shilingi ngapi?Aliuzwa na Singida United? Yanga walipopata gawio la mauzo ilikuwa ni sababu ya udalali?
Tafuteni wa kwenu na sio kukurupukia kutaka wachezaji yanga.chukueni george mpole,anazulula tu mtaaniNina uhakika kina timu zimewahi kuomba huduma ya Fei Toto na wachezaji wengine walioko utopolo na wakitoa ofa ya mishahara minono kwa wachezaji.
Ninachouliza tu,kuna mchezaji yupi amewahi kuuzwa nje na hii timu kama si kuwabania tu wachezaji wake?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Msuva alimaliza mkataba wake ,siyo kwamba aliuzwa na Yanga (Free agent)Msuva alitokea wapi? vijana wa Rage naona mnaonesha vipaji vyenu.
Makolo tunajua mnapitia kipindi kigumu sana kisaikolojia kipindi hiki,kuweni makiniNina uhakika kina timu zimewahi kuomba huduma ya Fei Toto na wachezaji wengine walioko utopolo na wakitoa ofa ya mishahara minono kwa wachezaji.
Ninachouliza tu,kuna mchezaji yupi amewahi kuuzwa nje na hii timu kama si kuwabania tu wachezaji wake?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Bakari MalimaNonda alitoroka,walitakiwa wawili na timu ya sauzi,yanga wakabana,nonda akatoroka,mwenzie akabaki
Hapana hakuwa malimaBakari Malima