Tanzania hakuna restriction tatizo ni vyama vya upinzani tz vimepoteza mwelekeo na kusababisha ccm kupata mwanya ....kosa la upinzani tz ni ujinga wa kutokutambua thamani ya rais mzalendo kama jpm badala ya kushirikiana naye maana jpm alikuwa ni tofauti na huyu mpuuzi wa ngazija, Jpm alikuwa tayari kushirikiana na yoyote anaye unga mkono siasa za kizalendo...maana ndiyo siasa zenye kujali watu .. samia hata ukimpamba awezi kuwa shirikisha wapinzani ushahidi ni makubaliano waliyo fikiana na upinzani ...samia kayakanyaga wazi wazi .