Ilikuwa Laki Tano Enzi Hizo mzee wangu ali lamba Teuzi wakati wa awamu ya Nne . Nilikuwa nachezea hela hadi sio poa Maisha haya.Buku tano kama buku tano au siyo??
Ndugu inaonekana awamu hii imekufanya vibaya sanaKitendo cha kuajiri mtu wa kunipikia na kufua wakati nilikuwa na nafasi ya kufanya mwenyewe. Nilikuwa na kaduka kadogo nikaweka mfanyakazi ningeweza kukaa mwenyewe dukani. Sasa nimefulia, napika na kufua mwenyewe
Hatari sana mkuuDaaahhh!! Mkuu umenichekesha sana
π π π π Acha uongo weweZile za tuma na ya kutolea!
Nisitiri bure mama..ππ π π π Acha uongo wewe
Haya usirudie tenaπΆNisitiri bure mama..π
Chawa chirudii Tena..πhaya usirudie tenaπΆ
Jf kila mtu yuko smart na yuko vema kimaisha mkuu, hahahahhhAcheni uswahili inamaana mpaka sahivi hakuna aliewatumiaga wale jamaa wa hiyo hela tuma kwenye namba hii!!!
Inamaana biashara yao haikwenda sawa au mnaona aibu tu wana jf..?
Hatutakucheka we sema tu..π