Ni pikipiki gani nzuri kwa biashara ya Bodaboda?

Ni pikipiki gani nzuri kwa biashara ya Bodaboda?

Kama unataka ununue pikipiki uendeshe mwenyewe nakushauri ununue boxer(2,000,000) bshaka utakua makini kwenye uendeshaji,usafi,matunzo na service. Lakini kama mpango wako ni kununua na kumpa mtu akuendeshee nakushauri ununue SUNLG(1,800,000) au FEKON(1,650,000).

Kununua Boxer alafu ukampa mtu akuendeshee naomba nikwambie kuwa hiyo pesa yako kamwe haitorudi kwan itawahi kuharibika kabla ya kurejesha mtaji na faida. BOXER ya miezi 6 ukiiona haitamaniki na hasa hawa madreva dizaini ya akina mcharo ndo kabisaa mwaka haimalizi ushapeleka dampo. Otherwise hii biashara ya bodaboda utapata pesa kama unaendesha mwenyewe ila kumpa mtu aendeshe inakula kwako.

Kama una 2.5mln unaweza kupata Bajaj ya mkopo... ukawa unarejesha taratibu ndani ya miezi 6 umemaliza unaanza kula pesa tu. Jiulize misimu ya mvua kama hii nani anapanda bodaboda? Wengi wameenda likizo. Ni hayo tu.
 
Unapotafuta Pikipiki kwa ajili ya kufanyia biashara unapaswa kuzingatia kwanza mambo yafuatayo.
1/MAZINGIRA(Aina ya barabara, Je ni Lami au Changarawe, Tambarare au milima/mitelemko, mjini au kijijini nk.)

2/UTAMADUNI(Kila mahali kuna aina ya pikipiki inayofahamika na kupendwa na madereva na wateja)

3/VIPURI(Pikipiki ina matengenezo mengi madogo madogo kila mara, hivyo hakikisha vipuri vyake ni vinapatikana kwa urahisi, nafuu na Imara).

4/NGUVU(Kuna za 125cc(Nguvu ya kawaida, mafuta kawaida) na 150cc(ina nguvu zaidi, mafuta zaidi kidogo na bei juu kidogo). Kwa biashara ya boda boda 150cc inafaa zaidi kwa kuwa inahimili mzigo mzito kidogo)

BAADHI YA PIKIPIKI ZINAZOTUMIKA KWA BODA BODA.
(a)KINGLION(Inafaa popote, Ni nzito, ngumu na Imara. Bei 1.7milion)

(b)FEKON(Inafaa popote, ni nzito, ngumu na Imara.Bei 1.7milion)

(c)TOYO(Inafaa popote, ni nzito, ngumu, imara. Bei 1.7milion)

(d)SKYGO (Inafaa barabara zote lakini haifai milimani, ni imara lakini sio ngumu sana. Bei 1.6milion)

(e)BOXER (Inafaa mjini tena kwenye barabara nzuri, ni Lexury. Bei 2.2milion. Ndio pikipiki yenye kupendwa zaidi na wateja wa mjini, nyepesi, haina kelele wala moshi. Vipuri vyake ni ghali zaidi. Haifai vijijini au kubeba mizigo)

*Makampuni mengi siku hizi(Kinglion, Fekon, Skygo, Toyo) yametoa pia matoleo ya pikipiki zenye muundo na mwonekano wa boxer(Luxury) bei 2milion hivyo usishangae.
Zipo kampuni nyingi sana zenye majina tofautitofauti ambazo zijazitaja hapo kama Honda, Shineray, Huawang nk.
 
Unapotafuta Pikipiki kwa ajili ya kufanyia biashara unapaswa kuzingatia kwanza mambo yafuatayo.
1/MAZINGIRA(Aina ya barabara, Je ni Lami au Changarawe, Tambarare au milima/mitelemko, mjini au kijijini nk.)

2/UTAMADUNI(Kila mahali kuna aina ya pikipiki inayofahamika na kupendwa na madereva na wateja)

3/VIPURI(Pikipiki ina matengenezo mengi madogo madogo kila mara, hivyo hakikisha vipuri vyake ni vinapatikana kwa urahisi, nafuu na Imara).

4/NGUVU(Kuna za 125cc(Nguvu ya kawaida, mafuta kawaida) na 150cc(ina nguvu zaidi, mafuta zaidi kidogo na bei juu kidogo). Kwa biashara ya boda boda 150cc inafaa zaidi kwa kuwa inahimili mzigo mzito kidogo)

BAADHI YA PIKIPIKI ZINAZOTUMIKA KWA BODA BODA.
(a)KINGLION(Inafaa popote, Ni nzito, ngumu na Imara. Bei 1.7milion)

(b)FEKON(Inafaa popote, ni nzito, ngumu na Imara.Bei 1.7milion)

(c)TOYO(Inafaa popote, ni nzito, ngumu, imara. Bei 1.7milion)

(d)SKYGO (Inafaa barabara zote lakini haifai milimani, ni imara lakini sio ngumu sana. Bei 1.6milion)

(e)BOXER (Inafaa mjini tena kwenye barabara nzuri, ni Lexury. Bei 2.2milion. Ndio pikipiki yenye kupendwa zaidi na wateja wa mjini, nyepesi, haina kelele wala moshi. Vipuri vyake ni ghali zaidi. Haifai vijijini au kubeba mizigo)

*Makampuni mengi siku hizi(Kinglion, Fekon, Skygo, Toyo) yametoa pia matoleo ya pikipiki zenye muundo na mwonekano wa boxer(Luxury) bei 2milion hivyo usishangae.
Zipo kampuni nyingi sana zenye majina tofautitofauti ambazo zijazitaja hapo kama Honda, Shineray, Huawang nk.
Nawezaje kujua boxer bm 150 kama ni orijino?
 
Nawezaje kujua boxer bm 150 kama ni orijino?
Binafsi sina uzoefu wowote wa kuweza kutofaitisha pikipiki origino na Fake, kifupi sijui kama pikipiki Fake za boxer kama zipo au la. ila kwa kukusaidia tu, zingatia haya unapotaka kununua pikipiki.
1/Nenda kwenye maduka ya mawakala halisi wa aina ya pikipiki unayotaka, kwa sasa maduka hayo yapo karibu kila mkoa.

2/Fanya utafiti binafsi kuhusu aina ya pikipiki unayotaka kununua(nenda uliza madereva wa bodaboda kuhusu aina za pikipiki wanaendesha, hao vijana wanajua mengi sana).

3/Jitahidi kufika kwa Fundi pikipiki na kumuuliza chochote kuhusu aina za pikipiki, hususani Ubora, bei, vipuri, matatizo nk

4/Kama ni mara ya kwanza kutaka kununua pikipiki, tafadhari nenda na mtu mzoefu kidogo ili ukuongoze katika kuchagua, kukagua pikipiki unayotaka kununua dukani.

MUHIMU.
Epuka sana kununua pikipiki kwa mtu iliyokwisha tumika, unless wewe uwe mzoefu wa pikipiki, muuzaji awe ni mtu unayemfahamu vizuri nk. Why? Pikipiki nyingi zinazouzwa mara nyingi huwa zimetumika sana kiasi cha kuchoka sana(Unaweza usijue kabisa kwa macho), nyingine ni za wizi, familia, kikundi nk.
 
Unapotafuta Pikipiki kwa ajili ya kufanyia biashara unapaswa kuzingatia kwanza mambo yafuatayo.
1/MAZINGIRA(Aina ya barabara, Je ni Lami au Changarawe, Tambarare au milima/mitelemko, mjini au kijijini nk.)

2/UTAMADUNI(Kila mahali kuna aina ya pikipiki inayofahamika na kupendwa na madereva na wateja)

3/VIPURI(Pikipiki ina matengenezo mengi madogo madogo kila mara, hivyo hakikisha vipuri vyake ni vinapatikana kwa urahisi, nafuu na Imara).

4/NGUVU(Kuna za 125cc(Nguvu ya kawaida, mafuta kawaida) na 150cc(ina nguvu zaidi, mafuta zaidi kidogo na bei juu kidogo). Kwa biashara ya boda boda 150cc inafaa zaidi kwa kuwa inahimili mzigo mzito kidogo)

BAADHI YA PIKIPIKI ZINAZOTUMIKA KWA BODA BODA.
(a)KINGLION(Inafaa popote, Ni nzito, ngumu na Imara. Bei 1.7milion)

(b)FEKON(Inafaa popote, ni nzito, ngumu na Imara.Bei 1.7milion)

(c)TOYO(Inafaa popote, ni nzito, ngumu, imara. Bei 1.7milion)

(d)SKYGO (Inafaa barabara zote lakini haifai milimani, ni imara lakini sio ngumu sana. Bei 1.6milion)

(e)BOXER (Inafaa mjini tena kwenye barabara nzuri, ni Lexury. Bei 2.2milion. Ndio pikipiki yenye kupendwa zaidi na wateja wa mjini, nyepesi, haina kelele wala moshi. Vipuri vyake ni ghali zaidi. Haifai vijijini au kubeba mizigo)

*Makampuni mengi siku hizi(Kinglion, Fekon, Skygo, Toyo) yametoa pia matoleo ya pikipiki zenye muundo na mwonekano wa boxer(Luxury) bei 2milion hivyo usishangae.
Zipo kampuni nyingi sana zenye majina tofautitofauti ambazo zijazitaja hapo kama Honda, Shineray, Huawang nk.
Baada ya maelezo haya,
Zingine zote mbwembe...
 
Kama unataka ununue pikipiki uendeshe mwenyewe nakushauri ununue boxer(2,000,000) bshaka utakua makini kwenye uendeshaji,usafi,matunzo na service. Lakini kama mpango wako ni kununua na kumpa mtu akuendeshee nakushauri ununue SUNLG(1,800,000) au FEKON(1,650,000).

Kununua Boxer alafu ukampa mtu akuendeshee naomba nikwambie kuwa hiyo pesa yako kamwe haitorudi kwan itawahi kuharibika kabla ya kurejesha mtaji na faida. BOXER ya miezi 6 ukiiona haitamaniki na hasa hawa madreva dizaini ya akina mcharo ndo kabisaa mwaka haimalizi ushapeleka dampo. Otherwise hii biashara ya bodaboda utapata pesa kama unaendesha mwenyewe ila kumpa mtu aendeshe inakula kwako.

Kama una 2.5mln unaweza kupata Bajaj ya mkopo... ukawa unarejesha taratibu ndani ya miezi 6 umemaliza unaanza kula pesa tu. Jiulize misimu ya mvua kama hii nani anapanda bodaboda? Wengi wameenda likizo. Ni hayo tu.
Kampuni gani inakopesha bajaji
 
Back
Top Bottom