Ni pombe gani hutakuja kuisahau maishani mwako?

Bingwa ilikuwa ni noma ,watu walikata moto sana.
Mwaka 1998 nikiwa Morogoro, nilikunywa bingwa nne, then tukaenda disco Morogoro hotel nikapandishia na Konyagi kidogo. Tukiwa tunacheza muziki niko chakari nikamshika demu wa watu makalio, ulitokea ugomvi wa mwaka ukumbi ukavurugika. Mwisho wa siku nikaishia kituoni, asubuhi naumwa balaa. hahahahahahah, maisha ni kizungumkuti kweli
 
🤣🤣🤣🤣huwa wambea na wanafiki
Acha Basi, Mimi bhana pombe nimewahi kunywa ila sio kivile mimba ikiwa changa napenda sana konyagi ikikua nakunywa local beer natia na sukari basi hapo najisikia vizuri napenda mnoooo

Nikiwa Sina mimba si mnywaji kabisa labda itokee dharula tu, ila pombe ya hivi imewahi kunipa maajabu positively nilikunywa saint Anne Kama nusu chupa tu nilimwaga 💦💦 sijawahi kuona lita za kutosha godoro la inch 10 lilitota na kutapika chini,, nilipungua uzito ndani ya siku mbili, uzuri nilikuwa na muogeleaji mashuhuri
 
Akapiga mbizi sio?
 
Umenipa joto la hasara tu🤣🤣🤣😬..jaman st anna hua inafanya maajabu balaa...kojo kama loteeee🤣!..yaan unachoongea nakuelewa nanusu🙌🙌🙌🙌!🤣🤣🤣🤣 eti ulipungua siku 2 tu hahahahahhahaa..... nakufa mie
 
Tulikuwa chuo tumepiga wali wa buku Katika pitapita rafik yangu akasema tuchange tununue kvant kubwa na viroba vinne vya valuer tulikuwa geto kilichotokea jamaa yangu alizima mm nikajua kafa nikakimbia na mm nilirudisha chenji noma nikaenda kununua dada poa asubuhi kukuta ni mtu mzima hatar
 
Uzi wenu umenikumbusha maajabu ya saint Anne, nitarudia tena nitakupa mrejesho niliweka heshima mpk leo muogeleaji anahaha😂😂 ilikuwa hatari mi mwenyewe sitasahau🙌 🙌
 
Uzi wenu umenikumbusha maajabu ya saint Anne, nitarudia tena nitakupa mrejesho niliweka heshima mpk leo muogeleaji anahaha😂😂 ilikuwa hatari mi mwenyewe sitasahau🙌 🙌
Naona unaniringishiaaaa🤣🤣! Mie nimezoea kukaa na kiu sasa hv nafanya yangu...ila itabidi siku nishtue kama bado mie mzima...maana khaaaa🤐! Unageuza godoro maajabu yanaonekana bado khaaaaaaa...maniner
 
Ahaahahhaaa mbibi...lol..
 
Naona unaniringishiaaaa🤣🤣! Mie nimezoea kukaa na kiu sasa hv nafanya yangu...ila itabidi siku nishtue kama bado mie mzima...maana khaaaa🤐! Unageuza godoro maajabu yanaonekana bado khaaaaaaa...maniner
Hahahaha fala wewe, 😂😂😂Kama Ni hivyo Basi kuanzia Sasa naheshimu pombe, uzi umenitafakarisha sana huu, nimeikumbuka hiyo siku, hebu kafanye jaribio utanipa mrejesho ila nadhani haitakiwi uzidishe sana Yani usilewe piga kiasi hlf pata mpiga mbizi afanye miujiza, ule nilipata muujiza for real
 
Jamaa muongo sana ww amarula kama maziwa ukichanganya na k vant,konyag au vodka yyte lazima ikatike maana unakua unatengeneza bomu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Kiu changu ni chupa 1 tu la st anna!eeephew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…