NDUMBA WA NDUMBA
New Member
- Nov 6, 2012
- 1
- 0
Ni vizuri kila mgonjwa sugu atibiwe na daktari bingwa wa ugonjwa huo ndio maana unaona watu wengi wenye uwezo wakifetha ikiwemo viongoziwetu waandamizi wa vyama na serikali hukimbilia ughaibuni kuwafuata wataalam waliobobea kwenye marathi yanayo wasibu ilikuokoa maisha yao.
Ni vivohivyo kwa nchi yetu inasumbuliwa na saratani ya uchumi na Daktari alio bobea kwenye uchumi hakuna hapa nchini kwetu zaidi ya PROF IBRAHIM LIPUMBA sijui kwanini hatuelewi.
Nikiwa kama mwanachi wataifa hili nikimuona mtu anahoji uwezo wa mzalendo huyu naona anachelewesha maendelo yake yeye mwenyewe kwani hatahao wano tupa misaada uchumi wao ulipo tetereka haraka walijisalimisha kwake hawakuangalia anatoka katika upande gani wa dunia wala upande gani wa taifa analotoka nawashanga sana wannchi wano jiaaminisha kwamba kiongozi mzuri wa Taifa letu lazima atoke kanda ya kaskazini.
Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba hii ni nchi yetu sote hivyo mwananchi yeyote mwenye uwezo wakutatua matatizo yetu aungwe mkono bila kujali dini,kdbila,itikadi,na ukanda anaotoka. MUNGU IBARIKI TANZANIA NATOA HOJA.
Ni vivohivyo kwa nchi yetu inasumbuliwa na saratani ya uchumi na Daktari alio bobea kwenye uchumi hakuna hapa nchini kwetu zaidi ya PROF IBRAHIM LIPUMBA sijui kwanini hatuelewi.
Nikiwa kama mwanachi wataifa hili nikimuona mtu anahoji uwezo wa mzalendo huyu naona anachelewesha maendelo yake yeye mwenyewe kwani hatahao wano tupa misaada uchumi wao ulipo tetereka haraka walijisalimisha kwake hawakuangalia anatoka katika upande gani wa dunia wala upande gani wa taifa analotoka nawashanga sana wannchi wano jiaaminisha kwamba kiongozi mzuri wa Taifa letu lazima atoke kanda ya kaskazini.
Mwisho napenda kuwakumbusha kwamba hii ni nchi yetu sote hivyo mwananchi yeyote mwenye uwezo wakutatua matatizo yetu aungwe mkono bila kujali dini,kdbila,itikadi,na ukanda anaotoka. MUNGU IBARIKI TANZANIA NATOA HOJA.